jasmin abdulrahman
Member
- Apr 7, 2012
- 32
- 5
wana jf wenzangu naombeni ushauri nilimpenda kijana ambaye hakunipenda, alinipotezea muda wangu na kunifanya shuleni nisifanye vizuri. kwa kifupi alinitesa sana alikuwa akiongea na mpenzi wake mbele yangu anamkiss mbele yangu mimi ananiambia shiiip! nimeamua kuachana nae mungu amenijaalia nimempata mwingine bahati mbaya anajuana nae hivyo ananiharibia kwa mpenzi wangu mpya,anamforwadia msg za awali za mapenzi nilizokuwa nikimtumia yeye anasema mm bado ninamtaka sasa mpenzi wangu huyu mpya ananionesha. sasa huyu wa zamani nimfanyeje? vitendo vyake vimenichosha