nipo Dodoma mkuu,nimesomea education pia sina shughuli yoyote ndio kwanza nimepata mtaji wa laki 6 nataka nijitahidi biashara ya mtumba pia nimeulizia humu mkoa mzuri nikaanze upyaKwasasa upo mkoa gani, unagani/umesomea nini na unajishughulisha na nini..??
Asante ikawe kheri kakausijali utakaa sawa tu muda ukienda
Labda sikio la kufa! Kama mwanaume umeamua kuwekeza kwa mwanamke ambaye si mkeo basi fanya hivyo kama msamaria mwema ili mambo yakigeuka mezea na songa mbele.Daaah pole sana ndungu! Mapenzi haya jamani wanaume sijui tumelogwa na nani unamfunguliaje biashara demu tu tena kwa hela ya mkopo bank? fanya hivi kwa mkeo tu sio kimada madhara yake ni makubwa hawa viumbe ni wa kuishi nao kwa akiri sana otherwise ni mateso ya maisha kama haya, Kumsomesha mwanake kabala hujamuoa,kumfungulia biashara, acha huo upuuuzi utakuja kujuta, au kumpa mavitu ya dhamani kuliko uwezo wako kwa kutaka kujionyesha wewe mwanaume ni hatari kwa afya yako .
Amen na asante ndugu kwa ushauriDaaahh mapenzi haya jaman.......nimuhimu Sanaa mtu kujifunza mapema namna ya kuruhusu mapenzi yasikutawale......na hii imenipa nguvu kuendelea kuwa hii tabia yako ya mim kuonekana sipo romantic na Wala sijui kujali...
Natamkiwa hii kauli karibu kwa kila mwanamke ninae kuwa nae kwnye mahusiano...!!
Haikua hivi mwanzo.....nilianza kuwa hivi baada ya kugundua mapenzi yanaweza kuniharibia maisha yangu Kama nikiendekeza kuyaabudu.
Hata mke wangu asije tegemea kwamba love yangu kwake itavuka beyond 70%......never....!!!
Mwanamke hata umpende vipi!! Umjali vipi!!! Kitandani umfanye kwa mastyl yote tena kwa rate ya 1hr/bao........bado itafika tu time atakuletea pigo za usaliti na dharau...
Na tangu niutrain ubongo na moyo wangu kuwa hivi,,,,,,imekuwa very easy to let it go......!!!
Yani nikishaona tu mwanamke kaanza kubadilika vitabia, majibu ya hivyo, misunderstanding, dharau, poor communication.....basi fasta sana napiga u-turn na kuendelea kula maisha katika njia zingine.
Na Cha ajabu ni kwamba hii imekua Kama dawa katika mahusiano yangu.....wengi wao wamekua wakijirudi baada ya kugundua wananiletea ujinga wakitegemea ntateseka kumbe holaahhhh.......
That is my principle!!!
Pole Sanaa ndugu yangu kwa yalio kukuta....Mungu akasimame na ww
Asante dada angu kwa ushauri.Nikupe pole tu ndugu yangu....Nakushauri ujikubali uanze upya hivyo ulivyo... Maisha lazima yasonge mbele...huyo hakuwa wako...alikutumia kwa malengo yake....wako wa shida na raha anakuja kama utakuwa tayari kuyaacha yalopita.
Tunaondokewa na wapendwa wetu wa damu kabisa ..tunazika na maisha yanaendelea sembuse huyo.....usikumbatie tatizo...hata ungefanikiwa kuwa nae ungechapiwa vile vile.
Naomba mawasiliano yako PM, then nitakupa maelekezo mengine hukonipo Dodoma mkuu,nimesomea education pia sina shughuli yoyote ndio kwanza nimepata mtaji wa laki 6 nataka nijitahidi biashara ya mtumba pia nimeulizia humu mkoa mzuri nikaanze upya
Good luck man!! Mungu awe pamoja nawe!nipo Dodoma mkuu,nimesomea education pia sina shughuli yoyote ndio kwanza nimepata mtaji wa laki 6 nataka nijitahidi biashara ya mtumba pia nimeulizia humu mkoa mzuri nikaanze upya
Kwa kujazi nakushauri ifanye haya..Amen na asante ndugu kwa ushauri
Kuna wanawake wana roho ngumu sana aisee.hapana ndugu yangu sijawahi wasiliana nae mapaka leo labda alinitafuta kwanamba ya zamani lakini kuja kuniona hapana.
Nitakuombea lkni na wewe inabidi ukubali kuachilia uchungu ulionao mkuu ndipo maombi yatafanya kazi.pole sanaAsante dada yangu niombee niweze kuzuia hii chuki na majuto.
Pole kwa yalio kusibu, lakini jifunze kusamehe ili upate kupona
@Chapati 2 fwatilia huu ushauri..Pole Sana mkuu
Ila kuhusu suala la deni naamini benk nyingi Zina kipengele cha disability kama security ya kutokuendelea ila lazima iwe permanent na iathiri ufanisi wako wa kazi
Ivo fuatilia mkataba maana uwa hatusomagi
Umeongea kwa hisia sana Kaka,Inaumiza sana,Lakini mtumainie Mungu bro atakushindia katika mengi haya maisha kuna wakati yanatugeuka na kutuumiza lakini tumtazame Mungu analo tumaini letuHabarini
Jana katika kupitia taarifa za group, la shule niliyosoma secondary, nakutana na ujumbe kuwa naima, anaolewa jumamosi ya leo, nimekosa raha ndugu zangu, kwani ni miaka takribani 13 imepita nikijitahidi kusahau, ila kila nikiangalia hali yangu ya ulemavu najikuta nakumbuka na kuyachukia mapenzi.
mimi nilizaliwa mzima kabisa na sasa nina miaka 35, baada ya kumaliza chuo, nilikuwa na mahusiano na binti fulani ambaye tulisoma nae secondary hapa dar, nakumbuka kuonana nae ilikuwa ni kama bahati tu na kila muda naumia natamani nisingeonana nae labda leo hii ningekuwa mzima kabisa.
Mwanzo alikuwa ni mtu wa kipekee sana, nilijulikana kwao na kwetu walimjua, na kwakuwa nilikuwa na kazi private office moja hapa mjini(sitapenda kuitaja) nilijitahidi fanya uwekezaji mdogo kwake nilikopa kiasi fulani cha pesa mil 7 kwa dhamana ya kazi nikamfungulia duka kwa matumaini ya kuwa, kwakuwa sisi ni kitu kimoja mwenzangu nae asimame kwani alikuwa anashinda tu nyumbani kwao.
Nilipata misukosuko kazini na nikasimamishwa kazi na hapo ndipo nilipoanza kutoelewana na mwenzangu dharau ilikuwa kubwa, kejeli, unamuomba muonane anagoma au anakubali na hatokei kabisa na simu anazima, ndani ya miezi miwili, nilikuwa nimepata msongo mkubwa wa mawazo maana madeni na hali ngumu na mwenzangu haeleweki sikujua nifanye nini zaidi ya kunywa pombe.
siku ya tukio jumatano ile niliamka mzima kabisa, jioni nilipanga kwenda alipopanga naima bila taarifa kwani kila nikimjulisha basi hatoi ushirikiano. Nilitaka tukubaliane tuuze duka nifund hela kidogo ya kiwanja nilichonacho nifungue biashara nyingine, inisaidie kufanya marejesho bank.
sikuwahi fikiria kama ananisaliti nilijua tu ni kutingwa na kazi na kuwa na mood mbaya, saa 1 nilienda kwake kwakujua aliishafunga biashara nilivyofika kwake, niligonga mlango kukawa kimya, nilikuwa na funguo za kwake na yeye alikuwa nazo za kwangu nikafungua mlango
Sikuamini macho yangu naima alikuwa na rafiki angu kipenzi salim wakifanya mepenzi pale sebuleni wakapigwa na mshangao kwani hawakunitarajia, nilirudi nyuma na kuanza kutoka pale nikiwa na maumivu zaidi na kujiona sifai nikiwa mita chache tu kutoka pale nikivuka barabara nilisikia honi ya gari mara 2 baada ya hapo sikukumbuka kitu tena.
baada ya kuamka nilikuta ndugu zangu wakiwa hospital namimi wakiwa na huzuni, baada ya siku 2 ndiyo niligundua mguu wangu wa kushoto sina tena nilielezwa uliharibika kutokana na kusagwa na gari, nililia sana na bado nalia sana, nilijiuliza nimefanya dhambi gani kustahili adhabu hii, niliwaza nitalipaje deni la bank na nitawezaje kuanza maisha katika hali yangu ya ulemavu.
baada mwezi 1 nanusu nikatoka hospitalini, ila ikawa kama ninamkosi kwani baada ya mwezi nilikamatwa na malaria kali sana nikajua ndio mwisho wa maisha yangu, nilikuwa naweweseka sana, hospital wakaniwekea dripu ya Quinine, masikini ningejua naenda pata ulemavu mwingine ni bora ningejitibia nyumbani, ila nilipona vizuri baada ya week tu
baada ya miezi 7 nilianza poteza uwezo wa kusikia taratibu na kupoteza balance ya kutembea sikugundua mapema ila baada ya kufikisha mwaka na miezi 2, nilikuwa natatizo lingine la kutosikia vizuri.
Maisha yangu yalibadilika sikuwa na furaha tena na leo hii mwanamke alieniharibia maisha yangu ambaye naamini ni chanzo cha ulemavu wangu anaenda kuolewa najiuliza nimeikosea nini dunia, muda mwingine natamani kufariki kwani ninayopitia ni mazito kushinda uwezo wangu wa kustahili.
ewe maisha nilikukosea nini?
Ishamtokea mwenzetu so mda wa kumalalamikia, sasa nimda wa kumfariji maana hapo alipo anajuta.Pole broo .....lakini mbona kila siku tunawaambia humu kuwa mwanaume ishi maisha yako kwanza mbona hamuelewi.....? Tatizo ni ubishi na kujiona nyie ndio romantiki sana kushinda babu zenu na baba zenu....! Inauma sana ila ndio ishakuwa tutafanyaje sasa ...
Absolutely...🤗Akifanikiwa kusamehe..ataishi maisha ya furaha na amani
Testimony yako inahuzunisha sana. Imenisilitisha sana. Kiukweli umepitia mengi sana hadi leo. Nakushauri uangalie NGOs zinazotoa misaada kwa walemavu. Wasiliana nao wakusaidie. Wanatoa hata grants za mitaji nk. Sio kirahisi sana, lakini usikate tamaa ukiambiwa hapana hapa na pale. Mwishowe utafanikiwa.Habarini
Jana katika kupitia taarifa za group, la shule niliyosoma secondary, nakutana na ujumbe kuwa naima, anaolewa jumamosi ya leo, nimekosa raha ndugu zangu, kwani ni miaka takribani 13 imepita nikijitahidi kusahau, ila kila nikiangalia hali yangu ya ulemavu najikuta nakumbuka na kuyachukia mapenzi.
mimi nilizaliwa mzima kabisa na sasa nina miaka 35, baada ya kumaliza chuo, nilikuwa na mahusiano na binti fulani ambaye tulisoma nae secondary hapa dar, nakumbuka kuonana nae ilikuwa ni kama bahati tu na kila muda naumia natamani nisingeonana nae labda leo hii ningekuwa mzima kabisa.
Mwanzo alikuwa ni mtu wa kipekee sana, nilijulikana kwao na kwetu walimjua, na kwakuwa nilikuwa na kazi private office moja hapa mjini(sitapenda kuitaja) nilijitahidi fanya uwekezaji mdogo kwake nilikopa kiasi fulani cha pesa mil 7 kwa dhamana ya kazi nikamfungulia duka kwa matumaini ya kuwa, kwakuwa sisi ni kitu kimoja mwenzangu nae asimame kwani alikuwa anashinda tu nyumbani kwao.
Nilipata misukosuko kazini na nikasimamishwa kazi na hapo ndipo nilipoanza kutoelewana na mwenzangu dharau ilikuwa kubwa, kejeli, unamuomba muonane anagoma au anakubali na hatokei kabisa na simu anazima, ndani ya miezi miwili, nilikuwa nimepata msongo mkubwa wa mawazo maana madeni na hali ngumu na mwenzangu haeleweki sikujua nifanye nini zaidi ya kunywa pombe.
siku ya tukio jumatano ile niliamka mzima kabisa, jioni nilipanga kwenda alipopanga naima bila taarifa kwani kila nikimjulisha basi hatoi ushirikiano. Nilitaka tukubaliane tuuze duka nifund hela kidogo ya kiwanja nilichonacho nifungue biashara nyingine, inisaidie kufanya marejesho bank.
sikuwahi fikiria kama ananisaliti nilijua tu ni kutingwa na kazi na kuwa na mood mbaya, saa 1 nilienda kwake kwakujua aliishafunga biashara nilivyofika kwake, niligonga mlango kukawa kimya, nilikuwa na funguo za kwake na yeye alikuwa nazo za kwangu nikafungua mlango
Sikuamini macho yangu naima alikuwa na rafiki angu kipenzi salim wakifanya mepenzi pale sebuleni wakapigwa na mshangao kwani hawakunitarajia, nilirudi nyuma na kuanza kutoka pale nikiwa na maumivu zaidi na kujiona sifai nikiwa mita chache tu kutoka pale nikivuka barabara nilisikia honi ya gari mara 2 baada ya hapo sikukumbuka kitu tena.
baada ya kuamka nilikuta ndugu zangu wakiwa hospital namimi wakiwa na huzuni, baada ya siku 2 ndiyo niligundua mguu wangu wa kushoto sina tena nilielezwa uliharibika kutokana na kusagwa na gari, nililia sana na bado nalia sana, nilijiuliza nimefanya dhambi gani kustahili adhabu hii, niliwaza nitalipaje deni la bank na nitawezaje kuanza maisha katika hali yangu ya ulemavu.
baada mwezi 1 nanusu nikatoka hospitalini, ila ikawa kama ninamkosi kwani baada ya mwezi nilikamatwa na malaria kali sana nikajua ndio mwisho wa maisha yangu, nilikuwa naweweseka sana, hospital wakaniwekea dripu ya Quinine, masikini ningejua naenda pata ulemavu mwingine ni bora ningejitibia nyumbani, ila nilipona vizuri baada ya week tu
baada ya miezi 7 nilianza poteza uwezo wa kusikia taratibu na kupoteza balance ya kutembea sikugundua mapema ila baada ya kufikisha mwaka na miezi 2, nilikuwa natatizo lingine la kutosikia vizuri.
Maisha yangu yalibadilika sikuwa na furaha tena na leo hii mwanamke alieniharibia maisha yangu ambaye naamini ni chanzo cha ulemavu wangu anaenda kuolewa najiuliza nimeikosea nini dunia, muda mwingine natamani kufariki kwani ninayopitia ni mazito kushinda uwezo wangu wa kustahili.
ewe maisha nilikukosea nini?