ni mwezi wa nne tangu niliempenda abadilike na kunitamkia kwamba hana plan yakufunga ndoa na mm tena.ila kinachonipa mawazo nipale nnapokua namuwaza kila siku nakumkumbuka kupita kiasi.pia upande wake hapiti siku moja ikizidi sana mbili bila kunitafuta kwenye cmu..JE KUNAMAPENZI HAPO AU NI MAZOEA NDO YANAYOMFANYA ANIPIGIE?