Lumbi9
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 8,566
- 11,808
Mwaka ndio huo unayoyoma shukrani kwa mwenyezi, ila na vimbwanga navyo havikosekani.
Mwaka 2018 niliachana na wanawake wawili niliokuwa na mahusiano nao kipindi hiko, mmoja alipotea tu ghafla ikawa kimya kila namba niliyopiga haikupatikana nilienda alipokuwa anaishi, hola! Kazini kwake, hola! hatimae nikashukuru nikasema ninae huyu mwingne haina shida.
Ikapita miezi kama miwili mwingne nae akanambia p mimi nataka kuolewa umri unaenda na wewe sioni kama una mpango wote kuhusu hilo, baadae nikajua nae kama mimi tu tulikuwa wawili ila huko aliahidiwa ndoa, niliachwa hivyo.
Mwaka huu nimekutana nao tena hao wanawake wote wawili nyakati tofauti, mimi tayari nina mke na mtoto wenyewe bado hawaelewi. Cha ajabu wananilalamikia eti nimekuwa na haraka sana why sikuwasubiri!
Nikamuuliza huyu wa pili uliniacha mwenyewe ukitaka kuolewa ulitaka nikusubiri hadi uachike au, ananijibu ooh ulikuwa ni utoto ila sikufikiria sawasawa, ajabu zaidi wote sasa wameridhia kuwa side chicks.
Ila mimi siku hizi nimekuwa kama samaka, no reverse, kwanza miaka mitano mingi sana wameshakukongoroa mimi nije nihangaike na msimbe, no way.
Mwaka 2018 niliachana na wanawake wawili niliokuwa na mahusiano nao kipindi hiko, mmoja alipotea tu ghafla ikawa kimya kila namba niliyopiga haikupatikana nilienda alipokuwa anaishi, hola! Kazini kwake, hola! hatimae nikashukuru nikasema ninae huyu mwingne haina shida.
Ikapita miezi kama miwili mwingne nae akanambia p mimi nataka kuolewa umri unaenda na wewe sioni kama una mpango wote kuhusu hilo, baadae nikajua nae kama mimi tu tulikuwa wawili ila huko aliahidiwa ndoa, niliachwa hivyo.
Mwaka huu nimekutana nao tena hao wanawake wote wawili nyakati tofauti, mimi tayari nina mke na mtoto wenyewe bado hawaelewi. Cha ajabu wananilalamikia eti nimekuwa na haraka sana why sikuwasubiri!
Nikamuuliza huyu wa pili uliniacha mwenyewe ukitaka kuolewa ulitaka nikusubiri hadi uachike au, ananijibu ooh ulikuwa ni utoto ila sikufikiria sawasawa, ajabu zaidi wote sasa wameridhia kuwa side chicks.
Ila mimi siku hizi nimekuwa kama samaka, no reverse, kwanza miaka mitano mingi sana wameshakukongoroa mimi nije nihangaike na msimbe, no way.