🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 sijui hapa tatizo ni wewe wao kwanini ama kuna unachoficha mwanangu.Strange though might sound, ila wabakaji wanawake wapo, nakubaliana na Biblia kua mke mwema anatoka kwa bwana, mimi binafsi nina wivu sana na naamini karma ipo hivyo endapo nitatembeana mke wa mtu possibly wangu nae pia watapita nae , ingawa sio ulinzi tosha kwani naweza nisipite na wake
Mleta mada ni mwanaume... Alitakiwa aitendee haki jinsia yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani kati ya hawa wawili anatumia jinsia vibaya? Kwanini wewe kama hakuna ulichoficha au tatizo?
Kweli kabisa.. Wanaume huwa hatusemiUmetuangusha sana Mkuu.
Huyu mla chipsiLabda kama haudindishi vizuri, kuchomoka kwenye mtego wa mwanamke ni kazi sana vinginevyo imani yako ipo juu sana.
Mleta mada hujui maana ya kuwa mwanaume wewe!!
kwani kabakwa na Wa kiume tuanzie hapo mkuu!Kwamba kubakwa ni uanaume?
Wao hudhani ndo uanaumeKutembea na mke wa mtu ni hatari sana zaidi ya hata unavyofikiria.
Asilimia ya kudhurika ukigundulika hata kukutwa ni 99%.
Hata mm nikikuta kwangu, napiga kelele za mwizi. Nakubebesha TV au simu na kichapo juu. Sitakuua ila nitakuachia alama ambayo mpk unaingia kaburini utakuwa unanikumbuka.