sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,431
- 5,073
- Thread starter
- #21
Tamaa mbele mauti nyuma, kubakwa hata maandalizi hakuna, kama ana magonjwa ya zinaa utakuja mlilia nani? Think, masculinity isn't about banging girls days and nightsLabda kama haudindishi vizuri, kuchomoka kwenye mtego wa mwanamke ni kazi sana vinginevyo imani yako ipo juu sana.