Kwan ukifanya matusi na demu ni lazma umuoe! Kama ni ivo mtatosha? Na je maujuzi tutajifunzia wapi?Ila inakuwaje umtumie mwanamke au mtoto Wa watu kisha useme unataka kumuacha wanaume mbona mnaroho zakishetani inamaana umemfunua ulichotaka umekipata sasa wataka kusepa mwanamke akikupenda kosa asipokupenda kosa hivi mnataka nini labda Na wanaume kama nyinyi wengi mnaishia kulogwa tu
SawaKwan ukifanya matusi na demu ni lazma umuoe! Kama ni ivo mtatosha? Na je maujuzi tutajifunzia wapi?
Kwani shuleni hakunaga mitihani ya majaribio!?
Ilo umbo mungu kampa kaka yangu usimkosoe binadamu wakati utazaa utakuwa Na wajukuu mungu hajalibiwi[/QU
Doris Gabriel
usije kumchukia mwanamume hata siku moja ni kosa kubwa sana sana....wapende wanamume jamani....ujue wanatafuta kwa ajili yenu
KUMBE BADO WAPO WA KUTISHIA KUJIUANilimtongoza kiutani uyu dada, mara ya kwanza alikuwa mgumu mgumu mara akatiki, mchizi nikatembea nae sasa tatizo mtoto wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mume wake eti na huku mi nilimtamani alafu ananitishia nikimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa stress kwa sasa.
PoaMambo@
Doris Gabriel

Ur a boy and not a man muda ukifka utajamjua hiki ninacho kuambiaMi nna 23 mkuu,