Nilimtongoza kiutani sasa kaniganda

Nilimtongoza kiutani sasa kaniganda

Ebu toka hapa Na wewe.Kukuzidi mwaka 1 ndo nini
Eti nilimtamani.Are joking or what?
Na bado kurogwa tu .
Why mnachafua wadada wa watu.Huna GF wako mpaka kumnajisi huyo??
Sasa umeingia choo cha Shimo akugandee mpaka vyanaume vyenye Tabia hii vikome
I'm sure huyo Dada sio chizi aseme hivyo.kuna maneno ulimdanganya mpaka naye anasema hivyo
Eti ' haiwezekani kanizidi 1 year. 1 year ndo mdudu gani.
Tena angaliaa.Atakuendea Bagamoyo ukome kutamanitamani ovyo.
Kuweni open siku ya kwanza.
Ooh nimekupendaa hakuna kama wewe ntakuoaa. Kumbe unataka vya ndani.Unavipata unaanza sijui kanizidi mwaka.
Huo mwaka ulikuzuia Dudu kuingiaaaaa???
Naomba ushauri mkuu daa ata sielewi
 
Mnunulie vidonge vya kutosha, maji chupa kubwa, pen na karatasi mfungie zawadi umpelekee mxiuuuu. .
Anayetaka kujiua hasemi
 
Nilimtongoza kiutani uyu Dada, mara ya kwanza alikuwa mgumu mgumu mara akatiki mchizi nikabutua kushusha mzuka, sa tatizo mtt wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mme wake eti nauku mi nlimtamani afu ananitishia nkimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa adi stress kwa sasa.
Umriiii wako mkuu kama hutojali
 
Hahahahahhaah!!!kun post zingne inabidi ucheke kwnz baadae ndo uhuzunike!cha msing we jamaa muoe tu man kam kakuzid umri mbn hujamuuliza KBL hujamvua chupi?muoe tu LA sivyo atakuendea kigoma huko kibonda
 
anakutish huyo,mie uwa sina aibu nakweleza waziwaz bila kificho,kuna Dada nilikua nambandua akanza kuwasiliana na ndugu zangu bila me kujua nilipogundua nikamkanya ebu hacha utani wa kuzoea watu wakwetu
 
Vitabu vilituonya tusiyaamshe mapenzi..ona sasa unavyotaka kuusumbua moyo wa mtoto wa watu hah hah hah laiti ungejua anavyoumia pindi akiachwa usingejaribu kabisa kulifikiria hilo suala..we komaa naye tu
 
Nilimtongoza kiutani uyu dada, mara ya kwanza alikuwa mgumu mgumu mara akatiki, mchizi nikatembea nae sasa tatizo mtoto wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mume wake eti na huku mi nilimtamani alafu ananitishia nikimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa stress kwa sasa.
mkuu hadi hili unahitaji semina elekezi?????
wanaume tunazaliwa tuko full package yaani kila kitu kiko complete, hatuhitaji external forces kutu-shape 😀😀
 
Ila inakuwaje umtumie mwanamke au mtoto Wa watu kisha useme unataka kumuacha wanaume mbona mnaroho zakishetani inamaana umemfunua ulichotaka umekipata sasa wataka kusepa mwanamke akikupenda kosa asipokupenda kosa hivi mnataka nini labda Na wanaume kama nyinyi wengi mnaishia kulogwa tu
Haaa haaa Dada yamekufika nini
 
Ebu toka hapa Na wewe.Kukuzidi mwaka 1 ndo nini
Eti nilimtamani.Are joking or what?
Na bado kurogwa tu .
Why mnachafua wadada wa watu.Huna GF wako mpaka kumnajisi huyo??
Sasa umeingia choo cha Shimo akugandee mpaka vyanaume vyenye Tabia hii vikome
I'm sure huyo Dada sio chizi aseme hivyo.kuna maneno ulimdanganya mpaka naye anasema hivyo
Eti ' haiwezekani kanizidi 1 year. 1 year ndo mdudu gani.
Tena angaliaa.Atakuendea Bagamoyo ukome kutamanitamani ovyo.
Kuweni open siku ya kwanza.
Ooh nimekupendaa hakuna kama wewe ntakuoaa. Kumbe unataka vya ndani.Unavipata unaanza sijui kanizidi mwaka.
Huo mwaka ulikuzuia Dudu kuingiaaaaa???
Kazi ndogo sana kumdis hiyo,mie nakudiscourage hadi unaacha mwenyewe hakuna cha mganga wala nn
 
Anayejiua hasemi Sena wewe bado huna uzoefu na mikwara ya wanawake,unapiga chini na hafanyi kitu but unaonesha unataka kuendelea kutoka nae ila hayo maneno ya kutaka umuoe ndo yamekupa kiwewe
 
Back
Top Bottom