Nilimtongoza kiutani sasa kaniganda

Nilimtongoza kiutani sasa kaniganda

IMG-20160708-WA0007.jpg.jpeg
Daah volkswagen bito..mkuu huyu ndo ex wako?
 
Daa mi nlimtaman tu ila ye kaenda mbali mkee haiwezekani na umri kanizidi mwaka 1
 
Daa mi nlimtaman tu ila ye kaenda mbali mkee haiwezekani na umri kanizidi mwaka 1
Ebu toka hapa Na wewe.Kukuzidi mwaka 1 ndo nini
Eti nilimtamani.Are joking or what?
Na bado kurogwa tu .
Why mnachafua wadada wa watu.Huna GF wako mpaka kumnajisi huyo??
Sasa umeingia choo cha Shimo akugandee mpaka vyanaume vyenye Tabia hii vikome
I'm sure huyo Dada sio chizi aseme hivyo.kuna maneno ulimdanganya mpaka naye anasema hivyo
Eti ' haiwezekani kanizidi 1 year. 1 year ndo mdudu gani.
Tena angaliaa.Atakuendea Bagamoyo ukome kutamanitamani ovyo.
Kuweni open siku ya kwanza.
Ooh nimekupendaa hakuna kama wewe ntakuoaa. Kumbe unataka vya ndani.Unavipata unaanza sijui kanizidi mwaka.
Huo mwaka ulikuzuia Dudu kuingiaaaaa???
 
Nilimtongoza kiutani uyu Dada, mara ya kwanza alikuwa mgum mgum mara akatiki mchiz nkabutua kushusha mzuka, sa tatizo mtt wa watu kaniganda anadai eti mi ndo mme wake eti nauku mi nlimtamani afu ananitishia nkimwacha atajiua na ataacha ujumbe, mi aninipa adi stress kwa sasa..
Akijiua na wewe jiue
 
Siamini katika hivyo vitisho vya kitoto vya mtu kujiua.

Piga chini heri angeleta maelezo mengine.
NB: hamna mtu anaetaka kufa
 
Back
Top Bottom