Kama ni kweli pole sana.ushauri wangu jiweke mbali na mapenzi kwa sasa na uelekeze nguvu zaidi katika mambo yako,masomo na kazi bila ukimtegemea mungu kwa kila jambo!kama alikukacha kw pesa basi zitafute kwa hasira.one day utaangukia mikononi mwa mwenye mapenzi ya kweli na utasahau yote!
achane naye, ni mambo ya kawaida tu hayo dogo
laki nne si kitu utapata zaidi ya hizo, after all ulimla na wewe so chukulia poa tu
angekwambia mapema usingempa hiyo laki 4
wewe au mama yako si wa kwanza kudanganywa
They say "The best revenge is to forgive" japo si rahisi kihivyoooo
Pole aiseee uzuri Mungu kaweka kusahau utasahau tu
Yes, the best revenge is to forgive. Nzi Chuma
Hizo mambo za kuolewa halafu wanasema nililazimishwa zipo sana ndugu yangu. Msamehe na ongea nae bila kuonesha chuki yoyote.
Talking from experience!
They say "The best revenge is to forgive" japo si rahisi kihivyoooo
Pole aiseee uzuri Mungu kaweka kusahau utasahau tu
Yes, the best revenge is to forgive. Nzi Chuma
Hizo mambo za kuolewa halafu wanasema nililazimishwa zipo sana ndugu yangu. Msamehe na ongea nae bila kuonesha chuki yoyote.
Talking from experience!
YANGU NI HAYA YAFUATAYO>
1. Hongera kwa kuleta ili jambo hapa JF maana tayari umshatua mzigo kwa 90% uliokuwa ukikusumbua moyoni na akili.
2. Wapo wengi waliopitia mitihani mikubwa ya maisha kuliko hayo yako lakni Mungu amewapa ujasiri waliyasahau and life go on....wana ndoa zenye furaha na Amani tele.
3. Huyo sio wako aliyekupangia Mungu......wako Yulee...nimepishana nae pale anakuja...TULIA..MUNGU ATAKUPA WAKO..mtakaye...endana vema...na hata hivyo mshukuru Mungu amekuepusha na huyo mwanamke...!
4. Usije ukalipa KISASI....MUNGU ATAMLIPA...NA IPO SIKU ATAKUJA KULIA MACHOZI MBELE YAKO akikuomba msamaha.
5. Mfariji mama ...mwambie ULITELEZA TU...IPO SIKU...atafurahia kushuhudia NDOA YAKO NA WAJUKUU.
NB: Usilipe kisasi, mpotezeee, namba yake...m-block ili asizidi kukutia stress...usitafute binti haraka..TULIA ...wako anakuja.
I see,mahusiano mengine hadi uchungu wa hasira unakupata kana kwamba umefanyiwa wewe....but kama umeshakaa normal we hayo achana nayo endelea na yako na uatapata mwingine anayejali hisia zakoHabari zenu wanaJF,
Mama yangu nlimshuhudia akitoa chozi kwa kudanganywa na mtoto mdogo, ila nikampoza na kumuomba msamaha. Licha ya kuwa alibadilishiwa namba na mumewe lakini still alintafta na namba yake mpya ninayo. Bado mpka sasa natafuta cha kumfanya huyu KHANITHI. BARADHULI. Kwa sababu kuu hizi: Natanguliza shukrani..