Da Pilly umenikosea sana, kwa 95% ndoa siijui wakati nimefuatwa kuombwa ushauri? Nakuhakikishia ndoa nyingi zimeyumba kwa mtu kuoa/kuolewa ilimradi muda umefika. Usipochagua vizuri mtu aliyeuteka moyo wako, matokeo yake kosa kidogo ugomvi mkubwa, kumbe angekuwa kifaa, ungesema samahani mpenzi, umenikwaza. Na huo utafiti wako kuwa wazuri wanatembea hovyo si kweli hata kidogo, hiyo ni tamaa ya kutaka kuwa na maisha mazuri bila kufanya kazi.