KALINZI NYUMBANI
JF-Expert Member
- Jan 7, 2015
- 2,065
- 2,147
Hapana mkuu mimi sio muhusika,ila ukiona jamaa anafanya hayo basis ujue chanzo ninyinyi.Hakuna play boy yeyote ambae hajawahi kuumizwa.Ukiona hivo basi ujue kuna sehemu alipenda akapindukia lakini mwisho wasiku akaumizwa,na haoni umuhimu wa mahusiano yeyote.Jambo la msingi namuonea huruma tu asije akavunja sheria akafungwa.Unaongea kama wewe ndiye muhusika vile
Yameshanikuta haya,wapo tuliowatendea wema tukifikiri watakuja kuwa wake zetu lakini malipo yao hata shetani anayoogopa.
Btw pole mkuu.
