Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Hili sio dogoVitu vidogo vidogo kama hivi huwa vinavuruga sana wadada.
Sijui kwa nini.
Hili sio dogoVitu vidogo vidogo kama hivi huwa vinavuruga sana wadada.
Sijui kwa nini.
Tabia za pwani ni jambo la kawaida...tanga to mtwara mwambao wote wa pwani hasa wale wenyeji kwao ni kawaida sanaJamani huyo mwanaume wako si mzima inawezekana kati ya wale wanne yeye ndio mmoja wapo.Haiingii akilini mtu ufumaniwe halafu wewe tena utake kuua.
Ila na wamama sisi tuna tabia mbaya sana sasa huyo mama mwenye nyumba anabariki kabisa mwanae kubanduliwa humo humo ndani ilihali anajua mkaka ana mchumba mbali na hilo yeye ndio anakuwa mlinzi wao aiseeee kweli ni shidaaa
Aiseeee kweli ni shidaaaaTabia za pwani ni jambo la kawaida...tanga to mtwara mwambao wote wa pwani hasa wale wenyeji kwao ni kawaida sana
Sio kidogoAiseeee kweli ni shidaaaa
Mkuu nitakujibuVitu vidogo vidogo kama hivi huwa vinavuruga sana wadada.
Sijui kwa nini.
Are single niggas allowed in this group
Asante feitty kwa ushauri wako binafsi simpendi tena wala sina mpango nae ,sina dhiki ya wanaumeKuna watu ukiachana nao katika mahusiano wanakuwaga kama wehu.
Yaani mtu umemuacha kwa amani ila utajuta mana anakukosesha raha.
Na ukishaona mtu yupo hivo na aliondoka kwa mbwembwe jua alipoenda yamemshinda hivo anataka kukurudia.
Chamsingi simama imara huyo hamaanishi anakutisha tu ili uogope umrudie ila ukikomaa ataona humpapatikii hivo atakuacha.
Unaongea kama wewe ndiye muhusika vileAmefanya jambo la maana kabisa,maana nyie wanawake sio wakuonea huruma.Hata ndugu yangu wakike akifanyiwa hayo sawa tu,maana wanawake mkiaminiwa hamuaminiki.Mkipendwa hampendeki.
Huyo jamaa awe mstarabu tu asije kufungwa.
Pole na shughuli za siku wakuu.
Nilikuwa na mchumba ambaye tumedumu nae kwa miezi tisa. Pia uchumba wetu ulishakuwa wazi kwa wazazi wa pande zote mbili, japo bado hakikuwa kimefanyika chochote katika kuhalalisha mahusiano yetu.
Mwezi uliopita nilikwenda nyumbani kwa mchumba wangu bila kumtaarifu, nilikuta mlango umerudishiwa tu, nikataka kuingia mama mwenye nyumba akanifanyia ishara ya kuniita kwa mkono nikaenda kumsikiliza.
Alichoniambia eti nirudi nyumbani nisiingie kwani mpenzi wangu hajisikii vizuri na ameagiza mtu yoyote akija asiingie. Nikatafakari nikaona kama mtu hajisikii vizuri kwanini nisijue shida yake.
Nikamuitia yule mama na kumshukuru kwa taarifa lakini nikaingia ndani, kweli sebuleni hapakuwa na mtu.
Nikasukuma mlango wa chumbani na kuingia. Sikuamini macho yangu nilichokiona inauma sana nilimkuta mpenzi wangu akifanya mapenzi na binti wa mama mwenye nyumba wake.
Niliona hakuna haja ya kugombana kwakuwa hakuwa mume wangu nilichomwambia aendelee na huyo mimi basi tena.
Siku iliyofuata alikuja home alipogonga geti nilichungulia nilipotambua kuwa ni yeye nilimuuliza anasemaje.
Alinijibu kwa dharau kwamba amekuja kunipa taarifa kuwa yule niliyemkuta nae ndiye chaguo lake mimi sina hadhi ya kuwa nae sikuwa na maneno mengi nilimjibu kifupi asante kisha nikafunga geti nakurudi ndani.
Nilipata uchungu sana nililia hata kesho yake sikuweza kwenda kazini
Nikaamua kumtoa moyoni na kwakweli nilimtoa kabisa, nilichukua zawadi zote alizonipa nikamtuma mdada wa kazi ampelekee. Nikajua ndo mwisho wa mawasiliano.
Baada ya wiki kupita akajirudisha nimekataa na simtaki sasa anatishia kuniua nimeripoti polisi na nimepewa RB.
Je, hapo mimi nina makosa?

!!.........Wanawake wa Dar ni noma,sisi huku kwetu Tarime mwanamke kwenda polisi ni mwiko kabisa!