Nilimfumania, sasa ananitishia kuniua

Nilimfumania, sasa ananitishia kuniua

Jamani huyo mwanaume wako si mzima inawezekana kati ya wale wanne yeye ndio mmoja wapo.Haiingii akilini mtu ufumaniwe halafu wewe tena utake kuua.
Ila na wamama sisi tuna tabia mbaya sana sasa huyo mama mwenye nyumba anabariki kabisa mwanae kubanduliwa humo humo ndani ilihali anajua mkaka ana mchumba mbali na hilo yeye ndio anakuwa mlinzi wao aiseeee kweli ni shidaaa
Hyo mama atakua wa uswahilini.
 
Jamani huyo mwanaume wako si mzima inawezekana kati ya wale wanne yeye ndio mmoja wapo.Haiingii akilini mtu ufumaniwe halafu wewe tena utake kuua.
Ila na wamama sisi tuna tabia mbaya sana sasa huyo mama mwenye nyumba anabariki kabisa mwanae kubanduliwa humo humo ndani ilihali anajua mkaka ana mchumba mbali na hilo yeye ndio anakuwa mlinzi wao aiseeee kweli ni shidaaa
Uswazi kuna mengi mama!
 
Mchumba ako kapanga uswazi baraha na huyo Dada aliyekuwa anabanduriwa ni Dada wa panya road
 
Vijana Punguzeni Bangi. Umefumaniwa Tena unataka kumuua Mdada wa watu. Hz n Akil au matope. Ww hapo una Tatzo mdada
 
Pole na shughuli za siku wakuu.

Nilikuwa na mchumba ambaye tumedumu nae kwa miezi tisa. Pia uchumba wetu ulishakuwa wazi kwa wazazi wa pande zote mbili, japo bado hakikuwa kimefanyika chochote katika kuhalalisha mahusiano yetu.

Mwezi uliopita nilikwenda nyumbani kwa mchumba wangu bila kumtaarifu, nilikuta mlango umerudishiwa tu, nikataka kuingia mama mwenye nyumba akanifanyia ishara ya kuniita kwa mkono nikaenda kumsikiliza.

Alichoniambia eti nirudi nyumbani nisiingie kwani mpenzi wangu hajisikii vizuri na ameagiza mtu yoyote akija asiingie. Nikatafakari nikaona kama mtu hajisikii vizuri kwanini nisijue shida yake.

Nikamuitia yule mama na kumshukuru kwa taarifa lakini nikaingia ndani, kweli sebuleni hapakuwa na mtu.

Nikasukuma mlango wa chumbani na kuingia. Sikuamini macho yangu nilichokiona inauma sana nilimkuta mpenzi wangu akifanya mapenzi na binti wa mama mwenye nyumba wake.

Niliona hakuna haja ya kugombana kwakuwa hakuwa mume wangu nilichomwambia aendelee na huyo mimi basi tena.

Siku iliyofuata alikuja home alipogonga geti nilichungulia nilipotambua kuwa ni yeye nilimuuliza anasemaje.

Alinijibu kwa dharau kwamba amekuja kunipa taarifa kuwa yule niliyemkuta nae ndiye chaguo lake mimi sina hadhi ya kuwa nae sikuwa na maneno mengi nilimjibu kifupi asante kisha nikafunga geti nakurudi ndani.

Nilipata uchungu sana nililia hata kesho yake sikuweza kwenda kazini
Nikaamua kumtoa moyoni na kwakweli nilimtoa kabisa, nilichukua zawadi zote alizonipa nikamtuma mdada wa kazi ampelekee. Nikajua ndo mwisho wa mawasiliano.

Baada ya wiki kupita akajirudisha nimekataa na simtaki sasa anatishia kuniua nimeripoti polisi na nimepewa RB.

Je, hapo mimi nina makosa?
Mkuu mi mi na swali wewe hujawahi kuchepuka kweli?
 
Pole na shughuli za siku wakuu.

Nilikuwa na mchumba ambaye tumedumu nae kwa miezi tisa. Pia uchumba wetu ulishakuwa wazi kwa wazazi wa pande zote mbili, japo bado hakikuwa kimefanyika chochote katika kuhalalisha mahusiano yetu.

Mwezi uliopita nilikwenda nyumbani kwa mchumba wangu bila kumtaarifu, nilikuta mlango umerudishiwa tu, nikataka kuingia mama mwenye nyumba akanifanyia ishara ya kuniita kwa mkono nikaenda kumsikiliza.

Alichoniambia eti nirudi nyumbani nisiingie kwani mpenzi wangu hajisikii vizuri na ameagiza mtu yoyote akija asiingie. Nikatafakari nikaona kama mtu hajisikii vizuri kwanini nisijue shida yake.

Nikamuitia yule mama na kumshukuru kwa taarifa lakini nikaingia ndani, kweli sebuleni hapakuwa na mtu.

Nikasukuma mlango wa chumbani na kuingia. Sikuamini macho yangu nilichokiona inauma sana nilimkuta mpenzi wangu akifanya mapenzi na binti wa mama mwenye nyumba wake.

Niliona hakuna haja ya kugombana kwakuwa hakuwa mume wangu nilichomwambia aendelee na huyo mimi basi tena.

Siku iliyofuata alikuja home alipogonga geti nilichungulia nilipotambua kuwa ni yeye nilimuuliza anasemaje.

Alinijibu kwa dharau kwamba amekuja kunipa taarifa kuwa yule niliyemkuta nae ndiye chaguo lake mimi sina hadhi ya kuwa nae sikuwa na maneno mengi nilimjibu kifupi asante kisha nikafunga geti nakurudi ndani.

Nilipata uchungu sana nililia hata kesho yake sikuweza kwenda kazini
Nikaamua kumtoa moyoni na kwakweli nilimtoa kabisa, nilichukua zawadi zote alizonipa nikamtuma mdada wa kazi ampelekee. Nikajua ndo mwisho wa mawasiliano.

Baada ya wiki kupita akajirudisha nimekataa na simtaki sasa anatishia kuniua nimeripoti polisi na nimepewa RB.

Je, hapo mimi nina makosa?
Siyo kupewa RB tu bali anatakiwa akamatwe.
 
they say love never die she still love him unajua anakoishi af unajikosha na RB yako c ungewaelekeza police
 
Pole sana mrembo hapo maza house kakuzidi kete ili binti apendwe. Shida yote ya nini tuliza akili utampata tu wa kufanana nawe
 
You decide the shit-let the shit be shitted acha kugeuka nyuma...

hujaskia umeshuhudia live mtu ana hondomolwa na mshedede bado unatafakari kama wewe ni mkosaji au laaa...acha utoto
 
Pole sana lakini mahusiano ya siku hizi ni pasua Kichwa Pole sana amini Mungu anakuandalia ubavu wako... ngoja wakati wa Mungu... acha zinaa... mpe Mungu nafasi ya kutenda
 
Back
Top Bottom