Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
1. Ataigawa nchi vibaya sana.
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.
crap