Nilikufa halafu badaye nikafufuka...

Nilikufa halafu badaye nikafufuka...

Aiseee, hatari sana, mimi sina comment yoyote mana mwandishi aliweka wazi kabla hajaanza kusimulia
 
Nimegundua watu wa humu ndio wanaofanya wanaoanzisha thread wasimalizie story zao,hata kama anatunga si uzi ni wake,inafika kipindi thread inajaa page tatu au nne ukija kuangalia zote ni vijembe na kejeli kwa muanzisha thread
Kweli kabisa.
Watu wanatafuta sehemu iliyokosewa tu wapate kukosoa.
 
Hizo siku 3 ambazo ilionekana umekufa wewe ulikua unajionaje? I mean wakati wengine wanakuona wewe kama marehemu wewe ulikua unajionaje?, hukubanwa na haja wala njaa?
 
Ok acha nimalizie, baada ya kuwa nafanya kazi ya kuchunga bila malipo kumbe nyumbani wakuwa wanapeleleza Mimi nilipo! Walisikia nipo Kijiji jirani na siku moja ilikuwa mida ya saa 3 asubuhi alikuja baba mpaka kwenye huo mji. Akawaita wenyeji akaanza kuwalagai kuwa wanidanganye ili anikamate nirudi home. Aisee niliitwa huku nikihojiwa vimaswali vya kitoto Kama fulani yupo nikasema ndiyo. Akaniambia njoo nikwambie Sasa, ila Mimi nilikuwa nichezwa na machare kuwa lazima atakuwa ni mshua kaja kunitafuta

Basi kweli bana nikamuona akiwa akachuchuma mahali ili nisimuone, aisee nilikimbia kama vile nimeona mnyama mkali baba alibaki anasikitika kuwa huyu mtoto ana matatizo gani!? Nilikimbia karibia vijiji 4 hivi mpaka ilipofika jioni ndipo nikaanza kutafuta sehem ya kulala. Basi cku hiyo nikalala kwa Wajaruo dah! Duh Wajaruo siyo watu kabsaaa. Nilikula vrz ila badaye nilikuja kujuta na kutamani nirudi home. Kwa vile Mimi toka utotoni nilikuwa na jeuri, hivyo ule mji wa pale ujaruoni sikukubaliana nao kutokana na Kwanza walikuwa n kabila tofauti na langu na pili walionesha kutokunijali ukilinganisha na pote nikipopita.

Sasa nikaamua kuanza kurudi safari ya kurudi home huki, aisee uchawi upo kabla sijafika nilianza kuhisi Kama sioni vile basi nikapata wasi wasi nikaka njiani kabsa mpaka akaja baba mmoja alipo niona nimelala njiani akaanza kufoka kuwa nahatarisha maisha kwani ningeweza ata kugongwa na baiskel. Basi nikamueleza akanielewa nikasema na kijijini kwetu make nilihisi kuna kitu. Tukaenda nikiwa nimechoka kabsa mpaka tukafika home mida ya saa 9 mchana. Tuliwakuta ndugu zangu wakimenya mihogo baada ya kuniona walishangaa sana huku mama wa kambo akaanza kulia kwani hali yangu ilikuwa siyo shwari.

Basi bana yule mzee akaeleza aliponikuta na Mimi nikiwa naongea kwa sauti ya unyongeee. Mpaka nilipokata roho. Nilikaa nikiwa marehemu kama siku 3 ila cku ya mazishi walikuja walimu wa shule niliyokuwa nasoma kabla sijaacha pa1 na wanafunzi wenzangu. Ndipo mwalimu Oganda alipo kuja kuona marehe mara ya mwisho, aliponiona nikamkonyeza aiseee yule mwalimu alishituka na kusema kuwa sijafa ila kuna mchezo. Basi bana walihairisha mazishi na kukaa kikao cha dharura. Waliafikia kuleta mtaalam na mtalaam kweli kesho yake aliwasili kutoka huko Magu mkoani Mwanza. Alifika akaagiza aletewe mgomba akaletewa make tulikuwa tunalima ndizi kwa wingi.

Basi ule mgomba ulikatwa huku akiongea maneno fulani hivi huku watu wote wakishangaa miujiza baada ya kukata vipande 3 nilitoka ndani ya sanda na kusimama. Ndipo nikaanza kulia huku nikijutia udhurulaji. Nilikaa home mpaka mwaka 2005 ulipoisha nikaingia mwaka 2006 bila ya kuendelea na shule ilipofika mwaka 2006 mwezi wa 8. Nilipelekwa shule nikaanza tena darasa 3. Aisee nilisoma kwa bidii mpaka saivi nipo chuo ila ningejuaga kuwa kutatokea tatizo la ajira niingeendelea na harakati za maisha.

NB: Hii story ni ya kweli na siyo ya kutunga. Imeisha hivyo
Mkuu ulijuwaje kama umekata roho?na nini kikitokea ukajihisi umekata roho?pia anayekufa hata kimazingaza anakuwa pembeni ya mwili ...iweje uweze kumkonyeza mwalimu wako?nini kilitokea?
 
Nimegundua watu wa humu ndio wanaofanya wanaoanzisha thread wasimalizie story zao,hata kama anatunga si uzi ni wake,inafika kipindi thread inajaa page tatu au nne ukija kuangalia zote ni vijembe na kejeli kwa muanzisha thread
Wanapenda thread za mapendeko
 
Barabara ya lami mpaka 2015 kwa tarime ukiachana na ile ya sirari, ile ya tarime mugumu mpaka leo haijawekwa lami zaidi ya kipande kutoka mjini mpaka mogabiri (ilianza kuwekwa mwaka jana.) Kisha kutoka mogabiri unaikuta tena nyamwana nayo ni kipande cha 1 km ambayo imekuja mpaka jirani na barabara ya nyamongo (wanapaita kipimio) kwenye kona. Hiyo lami ya mwaka 2005 wewe umeitoa wapi ukaiweka tarime nzima? Ni kweli 2005 kulikuwa na michomoko, lakini niambie mchomoko gani ulikuwa unaenda kuanzia bwirege kule. Hii njia ya kwa Gachuma kuelekea nyamongo mpaka leo haina usafiri zaidi ya raia kukodi bodaboda au kusubiri basi la jioni la kwenda nyamongo ndipo wapate usafiri.
Wanatafuta sifa hovyo hao story atoe mwingine ila wao kuweka masahihisho wamuache amalizie, halafu huyo anayesema lami ilikuwepo unaweza kuta alipo yeye anatimuliwa vumbi tu ila kujitutumua kama wale wanao pita pita kuomba teuzi
 
Ok acha nimalizie, baada ya kuwa nafanya kazi ya kuchunga bila malipo kumbe nyumbani wakuwa wanapeleleza Mimi nilipo! Walisikia nipo Kijiji jirani na siku moja ilikuwa mida ya saa 3 asubuhi alikuja baba mpaka kwenye huo mji. Akawaita wenyeji akaanza kuwalagai kuwa wanidanganye ili anikamate nirudi home. Aisee niliitwa huku nikihojiwa vimaswali vya kitoto Kama fulani yupo nikasema ndiyo. Akaniambia njoo nikwambie Sasa, ila Mimi nilikuwa nichezwa na machare kuwa lazima atakuwa ni mshua kaja kunitafuta

Basi kweli bana nikamuona akiwa akachuchuma mahali ili nisimuone, aisee nilikimbia kama vile nimeona mnyama mkali baba alibaki anasikitika kuwa huyu mtoto ana matatizo gani!? Nilikimbia karibia vijiji 4 hivi mpaka ilipofika jioni ndipo nikaanza kutafuta sehem ya kulala. Basi cku hiyo nikalala kwa Wajaruo dah! Duh Wajaruo siyo watu kabsaaa. Nilikula vrz ila badaye nilikuja kujuta na kutamani nirudi home. Kwa vile Mimi toka utotoni nilikuwa na jeuri, hivyo ule mji wa pale ujaruoni sikukubaliana nao kutokana na Kwanza walikuwa n kabila tofauti na langu na pili walionesha kutokunijali ukilinganisha na pote nikipopita.

Sasa nikaamua kuanza kurudi safari ya kurudi home huki, aisee uchawi upo kabla sijafika nilianza kuhisi Kama sioni vile basi nikapata wasi wasi nikaka njiani kabsa mpaka akaja baba mmoja alipo niona nimelala njiani akaanza kufoka kuwa nahatarisha maisha kwani ningeweza ata kugongwa na baiskel. Basi nikamueleza akanielewa nikasema na kijijini kwetu make nilihisi kuna kitu. Tukaenda nikiwa nimechoka kabsa mpaka tukafika home mida ya saa 9 mchana. Tuliwakuta ndugu zangu wakimenya mihogo baada ya kuniona walishangaa sana huku mama wa kambo akaanza kulia kwani hali yangu ilikuwa siyo shwari.

Basi bana yule mzee akaeleza aliponikuta na Mimi nikiwa naongea kwa sauti ya unyongeee. Mpaka nilipokata roho. Nilikaa nikiwa marehemu kama siku 3 ila cku ya mazishi walikuja walimu wa shule niliyokuwa nasoma kabla sijaacha pa1 na wanafunzi wenzangu. Ndipo mwalimu Oganda alipo kuja kuona marehe mara ya mwisho, aliponiona nikamkonyeza aiseee yule mwalimu alishituka na kusema kuwa sijafa ila kuna mchezo. Basi bana walihairisha mazishi na kukaa kikao cha dharura. Waliafikia kuleta mtaalam na mtalaam kweli kesho yake aliwasili kutoka huko Magu mkoani Mwanza. Alifika akaagiza aletewe mgomba akaletewa make tulikuwa tunalima ndizi kwa wingi.

Basi ule mgomba ulikatwa huku akiongea maneno fulani hivi huku watu wote wakishangaa miujiza baada ya kukata vipande 3 nilitoka ndani ya sanda na kusimama. Ndipo nikaanza kulia huku nikijutia udhurulaji. Nilikaa home mpaka mwaka 2005 ulipoisha nikaingia mwaka 2006 bila ya kuendelea na shule ilipofika mwaka 2006 mwezi wa 8. Nilipelekwa shule nikaanza tena darasa 3. Aisee nilisoma kwa bidii mpaka saivi nipo chuo ila ningejuaga kuwa kutatokea tatizo la ajira niingeendelea na harakati za maisha.

NB: Hii story ni ya kweli na siyo ya kutunga. Imeisha hivyo
Ilikuwaje ukamkonyeza Mwl ? Au alikuwa mtaalamu nayeye? Story nyingine duu mpaka yakukute haa haaa
 
Ok acha nimalizie, baada ya kuwa nafanya kazi ya kuchunga bila malipo kumbe nyumbani wakuwa wanapeleleza Mimi nilipo! Walisikia nipo Kijiji jirani na siku moja ilikuwa mida ya saa 3 asubuhi alikuja baba mpaka kwenye huo mji. Akawaita wenyeji akaanza kuwalagai kuwa wanidanganye ili anikamate nirudi home. Aisee niliitwa huku nikihojiwa vimaswali vya kitoto Kama fulani yupo nikasema ndiyo. Akaniambia njoo nikwambie Sasa, ila Mimi nilikuwa nichezwa na machare kuwa lazima atakuwa ni mshua kaja kunitafuta

Basi kweli bana nikamuona akiwa akachuchuma mahali ili nisimuone, aisee nilikimbia kama vile nimeona mnyama mkali baba alibaki anasikitika kuwa huyu mtoto ana matatizo gani!? Nilikimbia karibia vijiji 4 hivi mpaka ilipofika jioni ndipo nikaanza kutafuta sehem ya kulala. Basi cku hiyo nikalala kwa Wajaruo dah! Duh Wajaruo siyo watu kabsaaa. Nilikula vrz ila badaye nilikuja kujuta na kutamani nirudi home. Kwa vile Mimi toka utotoni nilikuwa na jeuri, hivyo ule mji wa pale ujaruoni sikukubaliana nao kutokana na Kwanza walikuwa n kabila tofauti na langu na pili walionesha kutokunijali ukilinganisha na pote nikipopita.

Sasa nikaamua kuanza kurudi safari ya kurudi home huki, aisee uchawi upo kabla sijafika nilianza kuhisi Kama sioni vile basi nikapata wasi wasi nikaka njiani kabsa mpaka akaja baba mmoja alipo niona nimelala njiani akaanza kufoka kuwa nahatarisha maisha kwani ningeweza ata kugongwa na baiskel. Basi nikamueleza akanielewa nikasema na kijijini kwetu make nilihisi kuna kitu. Tukaenda nikiwa nimechoka kabsa mpaka tukafika home mida ya saa 9 mchana. Tuliwakuta ndugu zangu wakimenya mihogo baada ya kuniona walishangaa sana huku mama wa kambo akaanza kulia kwani hali yangu ilikuwa siyo shwari.

Basi bana yule mzee akaeleza aliponikuta na Mimi nikiwa naongea kwa sauti ya unyongeee. Mpaka nilipokata roho. Nilikaa nikiwa marehemu kama siku 3 ila cku ya mazishi walikuja walimu wa shule niliyokuwa nasoma kabla sijaacha pa1 na wanafunzi wenzangu. Ndipo mwalimu Oganda alipo kuja kuona marehe mara ya mwisho, aliponiona nikamkonyeza aiseee yule mwalimu alishituka na kusema kuwa sijafa ila kuna mchezo. Basi bana walihairisha mazishi na kukaa kikao cha dharura. Waliafikia kuleta mtaalam na mtalaam kweli kesho yake aliwasili kutoka huko Magu mkoani Mwanza. Alifika akaagiza aletewe mgomba akaletewa make tulikuwa tunalima ndizi kwa wingi.

Basi ule mgomba ulikatwa huku akiongea maneno fulani hivi huku watu wote wakishangaa miujiza baada ya kukata vipande 3 nilitoka ndani ya sanda na kusimama. Ndipo nikaanza kulia huku nikijutia udhurulaji. Nilikaa home mpaka mwaka 2005 ulipoisha nikaingia mwaka 2006 bila ya kuendelea na shule ilipofika mwaka 2006 mwezi wa 8. Nilipelekwa shule nikaanza tena darasa 3. Aisee nilisoma kwa bidii mpaka saivi nipo chuo ila ningejuaga kuwa kutatokea tatizo la ajira niingeendelea na harakati za maisha.

NB: Hii story ni ya kweli na siyo ya kutunga. Imeisha hivyo
Pole sana
 
Back
Top Bottom