Nilikufa halafu badaye nikafufuka...

Nilikufa halafu badaye nikafufuka...

Jamani Sina muda wa kutoa majibu Kama hujaelewa basi potezea Kwan Umomi siyo wa kwanza kufa
 
Anzisha mtandao wako na ww mkuu
Boy mbona unapenda kuumiza Mind yako huoni humu mtandaoni jamaa wanavyokuongezea Stress kila mtu anakutusi, kukejeri, zihaki...ID uliyobaki nayo kama haina kazi ukijiroga kuandika uzi washamburiaji wata gain momentum tena.

Wewe maisha yako hayapo stable ya uharisia na mpaka humu sasa utakimbilia wapi solution unalijua ni nini sio mpaka uambiwe.
 
Atafufuka tenaa ujuee... Huyi alietangaza kifo chake ndo mwenye ID ya Umomi yani kuna mtu kaelezea hii movie nzima nimeamini ni kweli.. jamaa anatuchezea akilii tuuu
Screenshot_20200731-112801.jpg
 
Wewe ni muongo, kwa Tarime hakuna sehemu unaweza panda gari saa ukafika saa 1 hata ukitembea kwa mguu huwezi tumia muda huo.
Story ya kutunga.
Leo ndio nimegundua kwanini this week alikufa tena....
 
Bhangi aliyovuta bwana mdogo ni ile ambayo huwa inaota makaburini. Ni kali sana. Unaweza ukajiona unakata roho na kufufuka. Sasa usiombe ukute iliota juu ya kaburi la jamaa ambaye naye alikuwa anavuta bhangi.hapo ndo inakuwa kali zaidi.
 
Back
Top Bottom