Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 3,295
- 5,396
Wasalamu...
Copied.
Kipindi cha nyuma wakati naenda Chuo nilikuwa na hela kidogo (5M) nikiwaza nikifika chuo lazima nipate demu wa kutoboa nae maisha.
Daah yalikuwa mawazo ya ovyo sometimes, yani nifike Chuo nifungue duka la nguo kwa huo mtaji wangu alafu niwe na demu ambaye nampenda niwe naishi nae kupitia duka la nguo yaani awe anawavuta dukani wateja huku wote tukipiga kitabu hapo hapo chuoni.
Nipate mtu (mpenzi wangu) hukohuko chuoni tuifanye hiyo biashara ila lengo sio kumtumia bali awe mpenzi wa maisha.
Hii niliamua kufanya hivyo baada ya kuudhurua harusi ya brother mmoja akawa anaelezea mapenzi yake na huo demu anayemuoa, jinsi walivyokutana na kuanza maisha yao chuoni kupitia kufanya biashara huku wanasoma.
Nilivyofika chuo sasa ndo mtiti ulipoanzia, nikapata mluguru mmoja anapenda mapenzi mbaya mawazo yote ya biashara ya nguo nilikuja kuyakumbuka baada ya kubakiwa na 50000 tuu bank. Ile hela niliila sana na yule mluguru aseee hadi nabakiwa na 50k ndo nashtuka huyu mluguru ataniua.
All in all yule mluguru ndo mama watoto wangu leo kanipa watoto wawili hadi sasa.
nb.
Copied and pasted.
Wakuu nimekuwa interested sana hadi nimeona niwaletee huu mkasa mnipe ushauri maana mimi nina kiasi kama cha jamaa ila mimi nina 4M hivi na nategemea kuingia chuoni mda sio mrefu.
nipeni ushauri asee nikaifanyie biashara chuoni au niiache tuu bank isije liwa na mluguru
Copied.
Kipindi cha nyuma wakati naenda Chuo nilikuwa na hela kidogo (5M) nikiwaza nikifika chuo lazima nipate demu wa kutoboa nae maisha.
Daah yalikuwa mawazo ya ovyo sometimes, yani nifike Chuo nifungue duka la nguo kwa huo mtaji wangu alafu niwe na demu ambaye nampenda niwe naishi nae kupitia duka la nguo yaani awe anawavuta dukani wateja huku wote tukipiga kitabu hapo hapo chuoni.
Nipate mtu (mpenzi wangu) hukohuko chuoni tuifanye hiyo biashara ila lengo sio kumtumia bali awe mpenzi wa maisha.
Hii niliamua kufanya hivyo baada ya kuudhurua harusi ya brother mmoja akawa anaelezea mapenzi yake na huo demu anayemuoa, jinsi walivyokutana na kuanza maisha yao chuoni kupitia kufanya biashara huku wanasoma.
Nilivyofika chuo sasa ndo mtiti ulipoanzia, nikapata mluguru mmoja anapenda mapenzi mbaya mawazo yote ya biashara ya nguo nilikuja kuyakumbuka baada ya kubakiwa na 50000 tuu bank. Ile hela niliila sana na yule mluguru aseee hadi nabakiwa na 50k ndo nashtuka huyu mluguru ataniua.
All in all yule mluguru ndo mama watoto wangu leo kanipa watoto wawili hadi sasa.
nb.
Copied and pasted.
Wakuu nimekuwa interested sana hadi nimeona niwaletee huu mkasa mnipe ushauri maana mimi nina kiasi kama cha jamaa ila mimi nina 4M hivi na nategemea kuingia chuoni mda sio mrefu.
nipeni ushauri asee nikaifanyie biashara chuoni au niiache tuu bank isije liwa na mluguru