mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,810
Kwa Saikolojia ya mwanamkr anapopokea kitu toka kwa mwanaume anaamini Amehongwa.Mwezi wa pili nilimkopesha dem fulani hela, alikuwa ndio amehamia geto kuna vitu alikuwa lazima anunue.
Kiwango cha pesa sitokitaja [emoji23], aliniahidi kurudisha katikati ya mwezi wa 3 sasa naona siku zinayoyoma. Tulikuwa tukisaidiana sana vitu mbalimbali ndio maana nilimuamini na hiyo pesa, kiufupi tulikuwa marafiki wa karibu kwa muda mrefu.
Nifanyeje?
urafiki ulinipotosha πMwanamke hakopeshwi hela.
Amna urafiki hapo...hauwezi kutumia muwa kama fimbo ya kutembelea utaula tu...wewe cha msingi usimdaii muite mpelekee kuni.mambo yasiwe mengiurafiki ulinipotosha [emoji23]
AminAmna urafiki hapo...hauwezi kutumia muwa kama fimbo ya kutembelea utaula tu...wewe cha msingi usimdaii muite mpelekee kuni.mambo yasiwe mengi
Unless Ujarbu jutembelea Mua kama fimbo Mwisho uvunjike uanguke au Uule.Mwanamke hakopeshwi.
Mwanamke hasomeshwi.
haujadai mbususu πMe nilimkopesha laki 2 mwezi wa 9 mwaka jana mpka leo sijapewa nikimdai utasikia nitakupa nitakupa siwezi kumdhulumu mtu
ntafanya experiment πHuwa hawalipagi hao. Mwanamke unayemdai pesa ndefu kiaina yuko tayari akupe mbususu hata mwezi mzima mmalizane deni lenu
sitarudia tena aki π mbususu na hela yangu ya jasho wapi na wapiπ π π sema nini mwanawane huyo demu kisa chake kinafanana na niliyomkopesha naye alikuwa anahamia nyumba mpya. Na mimi sijalipwa mpaka leo, kama ndio huyo tumeisha tumepigwa π€
omba mbususu yake uichakate ndiyo mmalizane, ila hela hakupi mkuu.
Demu hakopeshwi. Oya huyo kahamia wapi?sitarudia tena aki π mbususu na hela yangu ya jasho wapi na wapi