joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,171
- 31,751
Siku zote wanawake huwaga wanapenda kutafuta huruma kwa watu hasa pindi ndoa au mahusiano ya kivunjika ili kuwa aminisha watu mme wake alikuwa mkorofi na mara nyingi sisi wanaume huwaga hatuwajibu ,kwani tunayo ya kwao mengi bali tuna baki maumivu yetu vifuani mwetu na kuendelea na maisha yetu.Umenena Vema kabisa.
Mume wa uyu dada kapitia changamoto Sana.
Na Kama na yeye Angelikuja kusimulia humu,
Basi Hali ya hewa ingechafuka Sana humu.