Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne

Umenena Vema kabisa.
Mume wa uyu dada kapitia changamoto Sana.

Na Kama na yeye Angelikuja kusimulia humu,
Basi Hali ya hewa ingechafuka Sana humu.
Siku zote wanawake huwaga wanapenda kutafuta huruma kwa watu hasa pindi ndoa au mahusiano ya kivunjika ili kuwa aminisha watu mme wake alikuwa mkorofi na mara nyingi sisi wanaume huwaga hatuwajibu ,kwani tunayo ya kwao mengi bali tuna baki maumivu yetu vifuani mwetu na kuendelea na maisha yetu.
 
Kuna mahali nmesoma unasema baada ya kuachika,
umekua MOTIVATIONAL SPEAKER WA WANAWAKE kuhusina na Mahusiano.

Maana ake umeingia kwenye kile chama cha kina Joyce kiria,

Hivi wanaume tuwe wakweli Basi.

Hivi Ni stori gani kutoka kwa type za kina Joyce kiria unaweza kuamini kuhusina na maswala ya mahusiano.

Hivi unamsikilizaje mshauri alieachika kwenye ndoa Mara 3,
maana ake wanaume wote kwake walkua wanamapungufu?
 
Tukasameheana

Sema Ukamsamehe.

Hayupo mwanaume timamu atakusamehe ukishamsaliti huyo sio mwanaume.

Wadada,mwanaume kamili hasamehi usaliti moja kwa moja.Akikusamehe usaliti ujue huna thamani km mwanzo,Ujue una mwanaume dhaifu sana,ujue atalipiza kwa namna nyingine.

Mwenye kusikia na asikie.Huo ndo udhaifu wa mwanaume.Tupo hivyo

Kama ambavyo mwanamke hawezi kutoa hela yake kwa mwanaume bila masimango.Wapo hivyo

Dada zangu ukisaliti ukastukiwa km upo kwenye mahusiano jua kbs ule upendo kwetu sisi haupo.Jua kbs 70% ya wanaume wanakuwa na chuki ambayo hata ukipata ajali kubwa au ukifa leo wanaweza sherekea kimoyomoyo.Huyo ndo mwanaume


Ila maendeleo yamekuja na wanaume dhaifu hili wadada litawasaidiA
 
Siku zote wanawake huwaga wanapenda kutafuta huruma kwa watu hasa pindi ndoa au mahusiano ya kivunjika ili kuwa aminisha watu mme wake alikuwa mkorofi na mara nyingi sisi wanaume huwaga hatuwajibu ,kwani tunayo ya kwao mengi bali tuna baki maumivu yetu vifuani mwetu na kuendelea na maisha yetu.
KWELI mkuu,
Mimi kupitia uandishi wake unaweza kujua alikua Ni mwanamke anayekera Kama bernad morison.

Mwanamke flani hivi,
Wa Mashindano na kupenda ligi.

Mwanamke flani hivi alikupa Ela yake lazima imuume Sana, na atakusimanga nayo.

Mwanamke flani hivi tulisoma shule ya msingi wanaitwa MWANAMKE SHUPAVU
 
Mtoa mada unatatizo la kimaadili,
Ata Kama ugombane vipi na mme wako, unapata wapi ujasili kwa kumwambia AONDOKE?

"...Nisingejua kuhusu huyo mwanamke nafikiri bado ningekuwa naye. Nikamwambia aondoke. Hiyo ni miezi minne tu baada ya harusi....."

Inamaana unataka kutuaminisha Yule alikua mfugo wako au kibenten wako?

Kwa uzoefu wangu,
Wanawake mkishapata vifedha, na nyinyi mnajiona mmeshakua wababa wa familia.

TWENDE MBELE TURUDI NYUMA, unatatizo la kimaadili.

Hata Kama jamaa ajakuja hapa tukamskia upande wake,
Ila kwa haraka HARAKA nikikusoma herufi kwa herufi uandishi wako, unatabia ya kumdominate mwanaume kwasababu TU umemlisha.

Iyo Ni tabia mbaya
Na HAKUNA MWANAUME alokamilika ATAVUMILIA UPUUZI HUU.
Kmmk aondoke. Unaishi kwangu halaf unaniletea ufala? Cha ajabu hapo nn? Watoto wa kiume mchelemchele
Ukibebwa bebeka. I know some men ambao hulazimisha makosa ili mwanamke ajisikoe inferior. Masemaje? Afukuzwe tena akalelewe na mamake.

Huwezi jenga kwko.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mtoa mada sio kwamba nakusema sana.


La hasha,
penye ukweli lazima tuseme. Wewe pia Una matatizo.

Hapa unatwambia mumeo hakua na ajira, afu wewe una ajira.
"....Mimi huku nako niliendelea kuchakarika, kuanzisha biashara n.k."

Hivi Umeolewa uko na mume wako, afu umeajiriwa
Unaendelea kuchakarika na kuanzisha biashara mpya za peke yako (bila shaka uliweka watu Baki wasimamie) .

afu baba mtoto wako anashinda TU nyumbani na rimoti Kama lisanamu. Is this fair?

Afu baadae
Unakuja mlalamikia na kumsimanga apa mwenzako eti

"Nilichogundua, mwanaume akiwa hana kitu chake/pesa yake anakuwa hajiamini kabisa...."

Hii HAIKUBALIKI na siwezi kukuelewa kabisa.
Hukumtendea haki Wala kuthamini nafasi yake kwako.
Mkui. Marudia tena, biashara yako iwe yako maamaaeee. Yes. She is damnly right. Biashara yangu ukachukue hela ukagongee mademu zako? Yaqn safi sana. Unaambiwa ukitaka mahusiano yenu yaishe salama kila mtu awe na chake. Nimejifunza, hata nikafa bora wale ndugu zangu... mumetufindisha ushenzi. Tunyooshane tu. Ye mwanaume anafanya nn. Ni wanaume wangapi wanavhukulowa mikopo na walimu na manesi kw akuombwa na bado wanatelekezwa? Girl, u did rhe right thing. Hakua anakupenda. Muliishi kimazoea
Imagine biashara zingekua share. Ungekomaaa. Share kafanye kwenu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Mkui. Marudia tena, biashara yako iwe yako maamaaeee. Yes. She is damnly right. Biashara yangu ukachukue hela ukagongee mademu zako? Yaqn safi sana. Unaambiwa ukitaka mahusiano yenu yaishe salama kila mtu awe na chake. Nimejifunza, hata nikafa bora wale ndugu zangu... mumetufindisha ushenzi. Tunyooshane tu. Ye mwanaume anafanya nn. Ni wanaume wangapi wanavhukulowa mikopo na walimu na manesi kw akuombwa na bado wanatelekezwa? Girl, u did rhe right thing. Hakua anakupenda. Muliishi kimazoea
Imagine biashara zingekua share. Ungekomaaa. Share kafanye kwenu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kesho mnadai 50/50,kumbe hata mnachodai hamkijui.

Mwendo wa Changu Changu, Chako Changu.
 
Kesho mnadai 50/50,kumbe hata mnachodai hamkijui.

Mwendo wa Changu Changu, Chako Changu.
Ewaaah, huu ushauri runashauriwa sana siku hizi. Mahusiano hayaeleweki. Unasema uwekeze na partner wako, dk 0 amekuibia kila kitu amekihamishia kungine unabaki unalia na mahusiano yanakufa. Majority ya hizi mambo hufaaa...

Usimpe mwanaume hela

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Kitu nilichojifunza maishani,ukiona ndoa yoyote haijadumu jua mwanamke ndio tatizo kwa zaidi ya 99%.

Kwa maelezo yako mwenyewe inaonekana wazi wewe ndio tatizo,hata hivyo jamaa alikuvumilia kukumwaga mapema kwa kuwa alikuwa hana kazi-yani nifahamu mwanamke umenicheat halafu niendelee nawe kabda kama umeniwekea limbwata.

Ndio maana mumeo nafsi take ilikuwa inamsuta kwamba anishi vipi na mwanamke aliyemsaliti wazi wazi.
 
Ewaaah, huu ushauri runashauriwa sana siku hizi. Mahusiano hayaeleweki. Unasema uwekeze na partner wako, dk 0 amekuibia kila kitu amekihamishia kungine unabaki unalia na mahusiano yanakufa. Majority ya hizi mambo hufaaa...

Usimpe mwanaume hela

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo mnapojua wanaume tuna moyo wa kipekee uliojaa upendo. Mwanaume ana uwezo wa kuishi na mwanamke hasiye na kazi na akamtunza kuanzia mke pamoja na familia yake.

Ila mwanamke kumvumilia mwanaume anayepitia changamoto za kiuchumi hamuwezi.

Ndio maana mwanamme akipitia misukosuko ya kiuchumi kuna 90% ya ndoa kivunjika, kwani ndoa imeshikiliwa na sentensi mbili.

1 Shida na raha.
2.ugonjwa na uzima

Dada zangu wanaingia kwenye ndoa na kufurahia kuvaa shela na show off ukumbini huku akiwa hajui hizo sensensi mbili zina maanisha nini.
 
Kuna tatizo mahali,

Mwanzo mwisho wa Hii stori mwanamke anaongelea kugharamia matumizi yote panapohitajika pesa.

Mwishoni kabisa Anashauri wanawake waolewe na wanaume wachapakazi.

Ukirejea mwanzoni, anatumbia mwanaume wake aliachishwa kazi (he was jobless).

Ila kuna mahali kasema yeye alikua na kazi ilokua inampa kipato cha kutosha mpk Cha kugharamia nyumbani, Pete, HARUSI na ndoa n.k

Ila sijaona kokote alikoonyesha juhudi za kumkwamua mwanaume wake kiuchumi ili wasonge wote mbele.

angalau kusema kamtaftia mtaji afungue genge, au kumuunganisha na kazi fulani jamaa akagoma kwenda kuifanya.

Mtoa mada Ni Aina ya wanawake wanaotaka mwanaume FINISHED PRODUCT.

Ni mwepesi Sana wa kulaumu mwenzie kutokua na kazi au kujishughulisha.
Wakati hajampa nyenzo wala Njia yoyote ya atokee wapi.

Mtoa mada
Ni sawa na kina ndugai wanaposema vijana wajiajili, serikalini hamna ajira. Wakati hawajawatengenezea nyenzo yoyote wahitimu Hawa kujiajili.
Mtoa mada sio kwamba nakusema sana.


La hasha,
penye ukweli lazima tuseme. Wewe pia Una matatizo.

Hapa unatwambia mumeo hakua na ajira, afu wewe una ajira.
"....Mimi huku nako niliendelea kuchakarika, kuanzisha biashara n.k."

Hivi Umeolewa uko na mume wako, afu umeajiriwa
Unaendelea kuchakarika na kuanzisha biashara mpya za peke yako (bila shaka uliweka watu Baki wasimamie) .

afu baba mtoto wako anashinda TU nyumbani na rimoti Kama lisanamu. Is this fair?

Afu baadae
Unakuja mlalamikia na kumsimanga apa mwenzako eti

"Nilichogundua, mwanaume akiwa hana kitu chake/pesa yake anakuwa hajiamini kabisa...."

Hii HAIKUBALIKI na siwezi kukuelewa kabisa.
Hukumtendea haki Wala kuthamini nafasi yake kwako.

Na me ndo niliwaza, maana anasema alianzisha biashara ya daladala, si angempa hata huyo mume aendeshe?

Huyo dada ni mkenya nimeweka link comment ya kwanza kabisa.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom