gbefa
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,801
- 15,798
Maisha yana changamoto kila mahali, kikubwa Mungu atututie nguvu ya kukabiliana na hizo changamoto muda mwingine mtu anaweza kudhani mambo yanavyoaribika unajitakia lakini kumbe mtu umepambana kwa hali yako yote lakini umekwama.. tuombe Mungu atupe nguvu kwa magumu tunayopitia...
Pole sana dada!
Pole sana dada!