Sembinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2014
- 393
- 340
Hao hao vijana ndio wajenzi wa taifa hili mkuuProfessor anaonekana bado kijana sana
Hao hao vijana ndio wajenzi wa taifa hili mkuuProfessor anaonekana bado kijana sana
Zipo kama mabanda ya kufugia kuku
Mnyika na vijana wake wanatia huruma sana aisee
Sijui kwanini hawakarabati zile ofisi.Mnyika na vijana wake wanatia huruma sana aisee
CHADEMA na wenzao vile ni vyama vya msimu tu
CHADEMA na wenzao vile ni vyama vya msimu tu
CHADEMA soon watakuwa kama TLP
Soon lini tena mkuu? Mbona mpaka sasa tayari wapo kama TLP.CHADEMA soon watakuwa kama TLP
Tangia magufuli afe hawana hoja tena sasaMnyika na vijana wake wanatia huruma sana aisee
Hivi hiki chama bado kipo?Soon lini tena mkuu? Mbona mpaka sasa tayari wapo kama TLP.
Kampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.Tangia magufuli afe hawana hoja tena sasa
Vyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekezaKampuni ya Mafuta ya Total Tanzania, Yampongeza Rais Samia na Kuipongeza Tanzania, Kujenga Mazingira Bora ya Biashara ya Mafuta, Uwekezaji.
Wenzao ni ITA-TRA ya mikocheniHivi bado wanachezesha watu madisco pale ifm?
2000s kuna course ilianza na watu 400 wakamaliza 180..
Nimeona na daraja letu la kigamboni,hongera SamiaVyama vya siasa vivunje sheria vyenyewe alafu wakulaumiwa awe Rais Samia? Hapana aisee. Samia anaonewa sana na upinzani sababu amezidi kuwadekeza
Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloniNimeona na daraja letu la kigamboni,hongera Samia
Kupigia kura aliyetumwa na Wazungu mwaka 2020 hadi mababu na mabibi wangetulaani Kura yangu nilimpa Rais Samia tu.Rais Samia na JPM walitoa elimu bure iliyomshinda mkoloni
Watanzania tumeshayapata mabadiliko kupitia kwa Rais Mzalendo Samia Nyie wengine ni wachumia tumbo tu kama Lissu.Kupigia kura aliyetumwa na Wazungu mwaka 2020 hadi mababu na mabibi wangetulaani Kura yangu nilimpa Rais Samia tu.