nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
kukimbia sio solution, akizima simu, ipo siku wataweza kutana popote, nafikiri ni kheri kuongea nae kwa simu ili ajue kabisa kama ni kugeuza ageuze, saa 4 (nadhani ni usiku) mume wa mtu kwenda kumpokea mwanamke mwingine ghafla, italeta picha mbaya sana, ukienda kumpokea na kumpangishia gesti house mume wa mtu, hotokua na la kujitetea habari hiyo ikifika kwa mkeo, mwambie kabisa kwa simu achague mwenyewe.
reply with quote