Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,076
- 4,162
Hiki kisa naeleza hapa ni nyakati zili kwisha kuyoyoma.
tangu enzi za elimu yangu ya msingi nilikuwa natumia mmea wa uzima, yaani kilevi Cha bangi.
hii ni kulingana eneo la jeografia niliyo ishi, vitu vingi nilijifunza mapema hasa ule urafiki na marasta wakati ule ungali mvulana mdogo.
Baadhi ya wanafunzi walitambua Mimi ni mshirika mkubwa wa matumizi ya mmea wa uzima, wengine walidiriki kuungana nami.
mmoja Kati ya warembo nilio soma nao shule ya msingi, nilibahatika kukutana nae kwa mara nyingine katika moja ya jiji hapa Tz.
kwa bashasha tulisalimiana, tukaongea mengi, akanipa mkasa wake mzito, kuwa yeye ni msagaji, alifunzwa katika shule za bweni kipindi akisoma sekondari.
ni zaidi ya miaka 10 anashiriki usagaji, amepata mwanaume anahitaji kumwoa, yeye yupo tayari na ndoa, tatizo ni ule mchezo mchafu anao shiriki je ataacha kweli.
Nilimweka kitako nikamsema, nikamkanya, nikamshauri, nikamwelekeza, uzuri alikuwa tayari kuacha, pamoja na hayo nilimshawishi atumie mmea wa uzima, kwani utamsaidia yeye awe huru, mwenye kutakasika, mwenye mwelekeo sahihi.
baada ya siku 120, binti alikuwa teja wa mmea wa uzima japo alitumia kwa Siri mno kuficha uhusika wake, alinieleza amefanikiwa kuacha usagaji, haikuwa rahisi ila aliweka nia, nikamjaza ile Imani za rastafari na mmea wa uzima ukachukua nafasi yake kumsafisha ubongo wake.
Majira yalizidi kuyoyoma, nikapokea taarifa za kufungwa pingu za maisha, yule binti mrembo na mchumba wake, bila hiyana nilihudhuria bila kukosa, baada ya ndoa akiwa fungate na mwenzie, alinipa ujumbe kupitia simu.
nimeshangaa kuacha usagaji na kuwa mvuta bangi, sasa naenda kuitwa mama, siamini nacho kiona, nikushukuru nawe kwa imani zako za rastafari, ushauri na kujitoa kwako nimebadilika Sasa.
Ushauri, matumizi ya mmea wa uzima ni hatari kwa ubongo wako endapo una shida ya ubongo, sio kila mwanajamii atumie,
usitumie kwa mkumbo, itakupa madhara,
namalizia kusema, nilifanikiwa kufungisha ndoa kwa ushauri, utaratibu, na imani hasa matumizi ya mmea huchangia asilimia 54%
tangu enzi za elimu yangu ya msingi nilikuwa natumia mmea wa uzima, yaani kilevi Cha bangi.
hii ni kulingana eneo la jeografia niliyo ishi, vitu vingi nilijifunza mapema hasa ule urafiki na marasta wakati ule ungali mvulana mdogo.
Baadhi ya wanafunzi walitambua Mimi ni mshirika mkubwa wa matumizi ya mmea wa uzima, wengine walidiriki kuungana nami.
mmoja Kati ya warembo nilio soma nao shule ya msingi, nilibahatika kukutana nae kwa mara nyingine katika moja ya jiji hapa Tz.
kwa bashasha tulisalimiana, tukaongea mengi, akanipa mkasa wake mzito, kuwa yeye ni msagaji, alifunzwa katika shule za bweni kipindi akisoma sekondari.
ni zaidi ya miaka 10 anashiriki usagaji, amepata mwanaume anahitaji kumwoa, yeye yupo tayari na ndoa, tatizo ni ule mchezo mchafu anao shiriki je ataacha kweli.
Nilimweka kitako nikamsema, nikamkanya, nikamshauri, nikamwelekeza, uzuri alikuwa tayari kuacha, pamoja na hayo nilimshawishi atumie mmea wa uzima, kwani utamsaidia yeye awe huru, mwenye kutakasika, mwenye mwelekeo sahihi.
baada ya siku 120, binti alikuwa teja wa mmea wa uzima japo alitumia kwa Siri mno kuficha uhusika wake, alinieleza amefanikiwa kuacha usagaji, haikuwa rahisi ila aliweka nia, nikamjaza ile Imani za rastafari na mmea wa uzima ukachukua nafasi yake kumsafisha ubongo wake.
Majira yalizidi kuyoyoma, nikapokea taarifa za kufungwa pingu za maisha, yule binti mrembo na mchumba wake, bila hiyana nilihudhuria bila kukosa, baada ya ndoa akiwa fungate na mwenzie, alinipa ujumbe kupitia simu.
nimeshangaa kuacha usagaji na kuwa mvuta bangi, sasa naenda kuitwa mama, siamini nacho kiona, nikushukuru nawe kwa imani zako za rastafari, ushauri na kujitoa kwako nimebadilika Sasa.
Ushauri, matumizi ya mmea wa uzima ni hatari kwa ubongo wako endapo una shida ya ubongo, sio kila mwanajamii atumie,
usitumie kwa mkumbo, itakupa madhara,
namalizia kusema, nilifanikiwa kufungisha ndoa kwa ushauri, utaratibu, na imani hasa matumizi ya mmea huchangia asilimia 54%
