Nilidhani ni story kumbe Kweli

rikiboy

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
21,515
41,981
Kuna jamaa angu tunafanya naye kazi, sasa jana kaja ana simu ndogo mpyaa nikamuuliza vipi ndugu simu yako ile smart ipo wapi? Jamaa akasema demu wangu alikuta msg za mademu wengine akaivunja kisha kaitumbukiza kwenye maji.

Aiseh! Nilishangaa sana how yani? How? Halafu jamaa hadi leo hajamwambia chochote kuhusu ile simu wanachat tu kawaidaa


Wadada punguzeni visirani.
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
 
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
Aisee ni balaa sanaa... Hivi hapo hata hukuogopa kama anaweza kukupiga vibaya sana??
 
Hongera,

Unaonekana ni mtu mwenye uthubutu.

Utakua na Experience na mengi, nyie ndio kwenye ndoa huwa mnatulia kabisa na mnajua kuchagua mume.
Haahahahhaha huyo dada ana hasira kama zangu...... Niliwahi kukuta meseji kama hivyo kipindi simu yake x wangu ina week mbili tu toka anunue niliishika nikabamiza chini vunja vunja mpaka nilihakikisha haitengenezeki..... Kilichofuata ni kipigo cha mbwa koko nusu nife sirudii tena mimi kushika simu ya mtu na kuvunja Ile siku angeniua dah nilibadilika rangi mwili wote nikawa mwekunduuu jamani wadada tusifanye hii michezo ya kuvunjiana simu
 
Back
Top Bottom