Nilidanganywa kusoma PGM nitakuwa rubani, leo hii mpishi kwa Mhindi

You shouldn’t regret, my friend! Aliyekuumba na kukuleta hapa duniani sio mbahatishaji kamwe. Alifanya hivyo kwa kusudi maalumu, ambalo lazima litimie kwa wakati uliopangwa.

Ujanja wa samaki ni kwenye maji na ujanja wa tumbili ni kwenye miti. Samaki ukimtoa kwenye maji ukamueka porini (ambako tumbili anaendesha maisha yake vizuri sana) atakufa kwa kukosa hewa. Tumbili naye ukimtoa kwenye miti ukamzamisha kwenye maji (ambako samaki anaendesha maisha yake kwa tija kubwa) atakufa kwa kukosa hewa vile vile!

Kama ulikusudiwa kuwa samaki, obviously, ujanja wa kukwea miti utausikia bombani. Hali kadhalika, kama ulikusudiwa kuwa tumbili, ujanja wa kuogelea na kuishi ndani ya maji utausikia bombani tu.

Samaki ukimtoa nje ya maji anakosa hewa?! Hewa gani hiyo ayovuta akiwa majini na anaikosa akiwa nje ya maji? I thought it is dying due to drought condition!
 
Samaki ukimtoa nje ya maji anakosa hewa?! Hewa gani hiyo ayovuta akiwa majini na anaikosa akiwa nje ya maji? I thought it is dying due to drought condition!

Issue sio absence ya hewa mahali alipo. Hata majini hewa ipo, lakini binadamu hawezi kuishi ndani ya maji. Shida ni uwezo wa kuingiza hiyo hewa kwenye mfumo wake wa upumuaji.

Respiratory system ya samaki haikuwa designed kwa maisha ya nchi kavu. Unsubmerged, the fish will ultimately suffocate, even if some moisture is maintained!
 
kikubwa uhai mkuu
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
 
Issue sio absence ya hewa mahali alipo. Hata majini hewa ipo, lakini binadamu hawezi kuishi ndani ya maji. Shida ni uwezo wa kuingiza hiyo hewa kwenye mfumo wake wa upumuaji.

Respiratory system ya samaki haikuwa designed kwa maisha ya nchi kavu. Unsubmerged, the fish will ultimately suffocate, even if some moisture is maintained!

Then we have to swap the two respiratory systems between them (tumbili and samaki) before we interchange their living environments! Is it possible doctor?
 
Wewe iko paji ya pika chakula zuri bana.

Mkuu usijilaumu sana kuna wengine hata hiyo chance hatupati,so ifanye hiyo kazi kwa malengo utatoboa
 
Then we have to swap the two respiratory systems between them (tumbili and samaki) before we interchange their living environments! Is it possible doctor?

If you swapped them, one would become a member of fish species and the other tumbili species. Fish is fish by design (for a reason) and tumbili is tumbili by design (for a reason) too; it isn’t accidental! That’s why some lawyers (or people meant to be lawyers) cannot possibly become engineers, and vice versa, no matter how hard they try to.
 
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
Kwa wahindi uliingia kwa qualification gani? Hotelier au casual? Tuanzie hapo kwanza...
 
Lakini mbona una chance nzuri sana..jiendeleze upishi uwe chef mzuri..uje ufungue hotel ya mapishi ya kihindi
Aiseee!!!!
IMG_20191127_163233.jpeg
 
Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunaosoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki. Kwa mshahara wa 250,000/= kwa mwezi

Aisee elimu hii ovyo sana.
Mmmmmh acha niombe mungu niwe mchungaji tum nichunge kondoo wake
 
Back
Top Bottom