Ukinisoma Kwa kutulia, utaona Mimi na wewe tuna mtazamo mmojaAcha woga mimi nimezaa nae watoto wawili na kwao hata sijafika na mama mkwe na baba mkwe tunaongea fresh, na binti yao naishi naye hadi leo. Tulikutana Dar na wazazi wapo Kilimanjaro
Uliwahi kuwa nao?Hao uliowataja kwanza wana chuki kuelekea mimi sijui kwa nini
🤣TeAmo😋Hao uliowataja kwanza wana chuki kuelekea mimi sijui kwa nini
Maswali Yako sijayaelewa? Kuwa nao wapi mkuu?Uliwahi kuwa nao?
Wanakuharibia kwa wengine?🤣🤣🤣
Haya maswali yako mbona yamejaa upashkuna??Uliwahi kuwa nao?
Wanakuharibia kwa wengine?
Mahala pake kabisaHaya maswali yako mbona yamejaa upashkuna??
Tofauti yangu na wewe ni UWONGO TU😂😂😂😂Ukinisoma Kwa kutulia, utaona Mimi na wewe tuna mtazamo mmoja
Duh pesa imekuwa kitu ingine dunia ya leoUkiwa na hela Hamna atakaekumbuka mambo ya umri
Hapo umeniacha mzee,uongo kwako au kwangu,ningependa kufahamu howTofauti yangu na wewe ni UWONGO TU😂😂😂😂
You're very wrongMahala pake kabisa
Haya buanaYou're very wrong
Hizi mbinu sasaHiyo ishu ndogo tu. Kama kichwa kiko kama cha Lowasa kimwagie piko uchanganye na masizi.
Kama sura Ina mikunjo kama bumps za barabarani nenda saloon kabandikwe foundation kisha upigwe rangi.
Ikigoma nenda kwa painter wa rangi za nyumba.
Siku ukifika utaonekana underaged
Kuna ndugu yangu kuna msichana alikuwa anachakatana nae,wala hawajawahi ongea mambo ya ndoa, siku moja jamaa anapokea simu ngeni kumbe bi mkubwa wa demu wake anamwambia jamaa unakuja lini kuleta barua mwananguKwanza unaanzaje kuongea na mama mkwe?
Yaani mama mkwe anapata wapi jeuri ya kuongea na wewe!?
Mama wakwe wa siku hizi ndio maana wanaliwa wao na watoto wao