Midazolam
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 806
- 1,337
Hahaa, muraa hongera sana kwa kutembea na kisu usiku, mkoa wa mara hatutembei hovyo hovyo.Wadau mimi nmekuja Tabora mwezi sasa. Nimekuja kikazi shughuli zetu. So siku zote hizi nalipwa Per diem kama kawaida. Nikawa mara kadhaa napata burdan sehemu mbalimbali mpaka mwenyeji wangu akanileta Sehemu moja inatwa Oxygen.
S
Karibu rorya.