Nilichoshuhudia PPF leo, inakatisha tamaa!

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Nov 11, 2010
651
853
Nilipofika ofisi za PPF ili kujua taratibu za utoaji mafao kwa waliopoteza ajira, nilikuta kundi kubwa la vijana ambao wote case yao inafanana. Vijana wote hao (mimi nikiwa miongoni mwao) walikuwa wakitaka kujua utaratibu wa mafao hasa fao la kujtoa. Kabla ya zamu yangu kuhudumiwa kfika, wengi nilianza kuwasikia wakilalamika kwa kusema fedha zetu ila tunanyanyasika. Baada ya mimi kufika dirishani na kutaka kujua kipi ni kipi kuhusu tamko ama maagizo ya Rais kuhusu malipo ya fao la kujitoa, niliambiwa kwamba wao (PPF) hawajapokea maelekeo yoyote. Baada ya kuambiwa hivyo, niliondoka nikiwa nimeinamisha shingo chini kama mwana mkiwa.

Ninachoweza kukisema na kukitolea maoni binafsi ni kwamba, wahusika ambao ni SSRA na waziri mwenye dhamana wanapwaya kwa hili. Nasema hivi kwa sababu sintofahamu hii imekuwa midomoni mwa watu kwa takribani wiki mbili sasa.

Mimi nadhani waziri mwenye dhamana au SSRA ilitakiwa watoe ufafanuzi wa suala hili ili kuweka mambo sawa tofaut na hali ilivyo hivi sasa.
 
Nilipofika ofisi za PPF ili kujua taratibu za utoaji mafao kwa waliopoteza ajira, nilikuta kundi kubwa la vijana ambao wote case yao inafanana. Vijana wote hao (mimi nikiwa miongoni mwao) walikuwa wakitaka kujua utaratibu wa mafao hasa fao la kujtoa. Kabla ya zamu yangu kuhudumiwa kfika, wengi nilianza kuwasikia wakilalamika kwa kusema fedha zetu ila tunanyanyasika. Baada ya mimi kufika dirishani na kutaka kujua kipi ni kipi kuhusu tamko ama maagizo ya Rais kuhusu malipo ya fao la kujitoa, niliambiwa kwamba wao (PPF) hawajapokea maelekeo yoyote. Baada ya kuambiwa hivyo, niliondoka nikiwa nimeinamisha shingo chini kama mwana mkiwa.

Ninachoweza kukisema na kukitolea maoni binafsi ni kwamba, wahusika ambao ni SSRA na waziri mwenye dhamana wanapwaya kwa hili. Nasema hivi kwa sababu sintofahamu hii imekuwa midomoni mwa watu kwa takribani wiki mbili sasa.

Mimi nadhani waziri mwenye dhamana au SSRA ilitakiwa watoe ufafanuzi wa suala hili ili kuweka mambo sawa tofaut na hali ilivyo hivi sasa.
Mhagama kazi imeshamshinda kabsaa anajikanyaga tyuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi ni shida tu kasoro vita lkn vingine ni hovyo sana mtu ufanye kaz miaka kadhaa ulipwe mshahara kiduchu nyingine wakate makato kibao bado Sikh ikifika ya kuchukua mafao yako wanakuzungusha sasa hiki nn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipofika ofisi za PPF ili kujua taratibu za utoaji mafao kwa waliopoteza ajira, nilikuta kundi kubwa la vijana ambao wote case yao inafanana. Vijana wote hao (mimi nikiwa miongoni mwao) walikuwa wakitaka kujua utaratibu wa mafao hasa fao la kujtoa. Kabla ya zamu yangu kuhudumiwa kfika, wengi nilianza kuwasikia wakilalamika kwa kusema fedha zetu ila tunanyanyasika. Baada ya mimi kufika dirishani na kutaka kujua kipi ni kipi kuhusu tamko ama maagizo ya Rais kuhusu malipo ya fao la kujitoa, niliambiwa kwamba wao (PPF) hawajapokea maelekeo yoyote. Baada ya kuambiwa hivyo, niliondoka nikiwa nimeinamisha shingo chini kama mwana mkiwa.

Ninachoweza kukisema na kukitolea maoni binafsi ni kwamba, wahusika ambao ni SSRA na waziri mwenye dhamana wanapwaya kwa hili. Nasema hivi kwa sababu sintofahamu hii imekuwa midomoni mwa watu kwa takribani wiki mbili sasa.

Mimi nadhani waziri mwenye dhamana au SSRA ilitakiwa watoe ufafanuzi wa suala hili ili kuweka mambo sawa tofaut na hali ilivyo hivi sasa.
Jana kwenye taatifa ya habari ya saa moja usiku nilimuona Jenister akisema wawalipe watu mafao kabla ya mwisho was mwezi.ujao.... japo aliongea akiwa Nssf

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom