Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Nilichoshuhudia POLICE Jana!

Heloo

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
4,391
Reaction score
3,409
Wasalaam!
Jana Nilikuwa Na ishu naifatila pale Police Mbezi.
Jamani,Tuwe makini sana Na Watoto wa kike Hasa wadogo tunaowachukua kwa Lengo la kuwalea au kuwatunza.
Mtoto wa kike miaka kama 6 au 7 .Amebakwa!!

Sasa kisanga hicho kikataka kumgeukia Mjomba MTU anayeishi naye,Baada ya Huyo mtoto kubakwa Na kupimwa kubainika kabakwa,ma jirani wakaripoti police,Baada ya police mtoto huku akilia akawa anamtaja mjomba wake. Kama ujuavyo Police hawana ajizi wakamsweka Ndani.Mpaka ile Jana ilikuwa mwendelezo wa mjomba MTU kuona kuozea jela kwa miaka 30.

Sasa,Baada ya mjomba MTU kuweka mahabusu Ili utaratibu uanze kufuatwa mjomba MTU akiwa Hajui wala haamini kilichomtokea inasemekana alikuwa analia Kilio mfululizo Bila kukoma Na huku akimuomba Mungu akiapa 'Jamani sijambaka Huyu mtoto sijambaka Huyu Mtoto Mungu Wangu anashuhudia'akaliaa akaliaaa anaomba.

Afande mmoja wa kike akaomba suala hili lifuatiliwe kwa makini mtaani anakoishi mjomba MTU Na Mtoto Ili kupata ukweli.Kamati ikaingia mtaani.Ndo kuja kubaini Ni kijana Bodaboda aitwae James ndio aliyembaka Mtoto Na kumtisha Mtoto aseme Ni mjomba.Na Ndio mjomba kutolea.

Hivi Sasa mjomba MTU anafanya utaratibu wa kumhamisha Mtoto Shule narudi kijijini.Maana ameponeaa tundu la sindano ukitegemea mjomba MTU ameoa.
Tuwe makini jamani.Mana katoto nilivyokaona japo Ni Kadogo vijana wameshakakomaza kiasi kwamba Baada ya maaskari kupata ukweli Na kuuliza tena akakakiri 'kweli Ni Bodaboda James.Lakini kabla kulikuwa Mpaka kanapiga makofi kushadadia mjomba ashikwe.
 
Naona maaskari sasa wanafanya kazi kwa nidhamu ya hali ya juu.
Maana zamani kesi ingenunuliwa tu.

Kweli wengi wapo jela kwa mambo mengi ya kuzushiwa.
 
Huo uchunguzi mtaani umechukua muda gani na mjomba kakaa ndani muda gwni. Story fake hiyo
 
Hata mm nashindwa kuelewa UchunguZi umefanyika kwa muda gani, kwa maelezo yako inaonyesha kila kitu kimefanyika jana na ww ukiwepo toka mjomba anasekwa rumande mpka watu wanaenda kuchunguza na mpka anatolewa hii yote ilikuwa jana tu, ina maana toka asubuhi we upo kituoni au na ww ulikuwa rumande
 
Wasalaam!
Jana Nilikuwa Na ishu naifatila pale Police Mbezi.
Jamani,Tuwe makini sana Na Watoto wa kike Hasa wadogo tunaowachukua kwa Lengo la kuwalea au kuwatunza.
Mtoto wa kike miaka kama 6 au 7 tuchukulie Ni darasa la 7.Amebakwa!!

Sasa kisanga hicho kikataka kumgeukia Mjomba MTU anayeishi naye,Baada ya Huyo mtoto kubakwa Na kupimwa kubainika kabakwa,ma jirani wakaripoti police,Baada ya police mtoto huku akilia akawa anamtaja mjomba wake. Kama ujuavyo Police hawana ajizi wakamsweka Ndani.Mpaka ile Jana ilikuwa mwendelezo wa mjomba MTU kuona kuozea jela kwa miaka 30.

Sasa,Baada ya mjomba MTU kuweka mahabusu Ili utaratibu uanze kufuatwa mjomba MTU akiwa Hajui wala haamini kilichomtokea inasemekana alikuwa analia Kilio mfululizo Bila kukoma Na huku akimuomba Mungu akiapa 'Jamani sijambaka Huyu mtoto sijambaka Huyu Mtoto Mungu Wangu anashuhudia'akaliaa akaliaaa anaomba.

Afande mmoja wa kike akaomba suala hili lifuatiliwe kwa makini mtaani anakoishi mjomba MTU Na Mtoto Ili kupata ukweli.Kamati ikaingia mtaani.Ndo kuja kubaini Ni kijana Bodaboda aitwae James ndio aliyembaka Mtoto Na kumtisha Mtoto aseme Ni mjomba.Na Ndio mjomba kutolea.

Hivi Sasa mjomba MTU anafanya utaratibu wa kumhamisha Mtoto Shule narudi kijijini.Maana ameponeaa tundu la sindano ukitegemea mjomba MTU ameoa.
Tuwe makini jamani.Mana katoto nilivyokaona japo Ni Kadogo vijana wameshakakomaza kiasi kwamba Baada ya maaskari kupata ukweli Na kuuliza tena akakakiri 'kweli Ni Bodaboda James.Lakini kabla kulikuwa Mpaka kanapiga makofi kushadadia mjomba ashikwe.
hariri habari yako haieleweki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom