Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Habarini za hapa ndugu zangu.
Juzi, nilipata msiba Marangu, Moshi Kilimanjaro, hivyo kutokana na majukumu ya harakati DSM, nikaamua kudrive Alteza yangu Dsm - Marangu usiku usiku. Nikaamua nishuke Mombo, Korogwe kwa ajili ya kupata kinywaji kidogo ili niendelee na safari. Niliwakuta wachaga wenzangu nao wakiwa na msiba mwingine kuupeleka Machame.
Nikaagiza mbavu nyama choma ili nishushie na lite baridi. Nikaona mchoma nyama kapotea ghafla, aliporudi akaja na nyama mbichi nyingine ili anichomee. Nikamuuliza, kwann huchomi hizi ambazo ziko jikoni?Akanijibu zina watu. Nikamwambia sitaki hiyo uliyoleta.
Jamaa mmoja mlanguzi wa ticket ambaye nilimpa bia 1 anywe nikamuuliza, n wapi naweza pata mbuzi 200 wa mkupuo? Akaniambia, labda nisubiri kama mwezi au wiki 3 hivi.Na akanielekeza kijiji cha kufuata (Siyo mbali na Mombo). Nami nikamuuliza, hawa mbuzi wote wanaochinjwa hapa wanatoka wapi?Akanijibu:-
"Bro nyama za hapa siyo. Nyingi n tumbili na nyani toka msitu huu wa kwenda Lushoto. Wanapigwa usiku na kuchunwa.Halafu wanawauzia watu wa misiba wanaopita usiku hapa. Mbuzi n kidogo sana Mombo".
Asanteni.
Juzi, nilipata msiba Marangu, Moshi Kilimanjaro, hivyo kutokana na majukumu ya harakati DSM, nikaamua kudrive Alteza yangu Dsm - Marangu usiku usiku. Nikaamua nishuke Mombo, Korogwe kwa ajili ya kupata kinywaji kidogo ili niendelee na safari. Niliwakuta wachaga wenzangu nao wakiwa na msiba mwingine kuupeleka Machame.
Nikaagiza mbavu nyama choma ili nishushie na lite baridi. Nikaona mchoma nyama kapotea ghafla, aliporudi akaja na nyama mbichi nyingine ili anichomee. Nikamuuliza, kwann huchomi hizi ambazo ziko jikoni?Akanijibu zina watu. Nikamwambia sitaki hiyo uliyoleta.
Jamaa mmoja mlanguzi wa ticket ambaye nilimpa bia 1 anywe nikamuuliza, n wapi naweza pata mbuzi 200 wa mkupuo? Akaniambia, labda nisubiri kama mwezi au wiki 3 hivi.Na akanielekeza kijiji cha kufuata (Siyo mbali na Mombo). Nami nikamuuliza, hawa mbuzi wote wanaochinjwa hapa wanatoka wapi?Akanijibu:-
"Bro nyama za hapa siyo. Nyingi n tumbili na nyani toka msitu huu wa kwenda Lushoto. Wanapigwa usiku na kuchunwa.Halafu wanawauzia watu wa misiba wanaopita usiku hapa. Mbuzi n kidogo sana Mombo".
Asanteni.