Dah..! Kaka wewe ni mwanachama mwenzangu wa upinzani na huwa nakukubali na kukuunga mkono sana ila katika hili umeniangusha sana kaka!View attachment 1780894
Fast foward.......
Hii masaji ilikuwa mobile yaani alikuja room kunifanyia masaji.
Alipofika akaanza na gia ya kuvaa kihasara-hara. Alikuja very decent akaomba aingie bafuni. Akaoga na kutoka na kanga moja iliyolowa.
Wakati namtupia taulo ajifute nikajisemea ngoja niionyeshe wehu hii pisi kali. Tulikubaliana ni masaji baaaaasi tu sitaki chokochoko zingine.
Alipojikausha akajifunga mtandio na kunitaka nilale chali anihudumie. Nikaitika.
Akaanza mdogo mdogo sehemu za mabega na kifuani hapa na kushuka kwenye mbavu. Baadae kidogo akapanda kitandani akitaka kunikalia akidai chini anakosa uhuru. Nikamruhusu akanikalia baada ya dakika 5 braza zakaria akataka kunisaliti. Dada akainuka kidogo kutaka kunivua boxer.
Nikamwambia hapana usifanye hivyo sio makubaliano. Akatabasamu akisema 80k ni body to body masage.
Basi akanielewa ila akaiegemeza viungo vikawa karibu kabisa mpaka nikagundua hakuvaa kitu ndani. Nikatamani nimwambie avae chupi ila nikaona nimpotezee tu,namkazia hivyo hivyo.
Basi wakuu nikajikausha pale mpaka ikatosha nikageuka kifudifudi ambapo hakuna madhara na vishawishi. Hatimaye dakika 40 zikakata ngoma droo. Dakika ya 43 akaniuliza kwani kaka una tatizo la nguvu za kiume. Nikacheka sana mpaka akashangaa,kisha nikamwambia ingiza mkono uhakiki. Kaniambia nataka nikupe ofa,nikamwambia usipate taabu labda siku nyingine halafu sina mpira. Akaniambia anayo kwenye mkoba.. Mkuu wenu bado nikakomaa.
Dakika ya 89 akanyanyuka akaoga zake,tukapiga stori kidogo na kusepa.


yaani unawekewa mbususu mezani unashindwa kuicharanga wakati umelipia package nzima
BADO HAKUNA SABABU MAALUMU KWANINI DERBY YA SIMBA NA YANGA HAIKUCHEZ
Ina maana kwa sasa unazeeka??in my whole life, sikuwahi kujua wanaume wanapendaga hivi kufanya tabia mbaya
yaan nimejulia uzeeni mwaka huu...
Eeh, tunatunzia waume zetutunu?
Eeh, nazeeka na mali zanguIna maana kwa sasa unazeeka??
🤣🤣🤣 au tuseme nilimletea utundu lissu,azingatie vipengele vya makubaliano ya awaliDah..! Kaka wewe ni mwanachama mwenzangu wa upinzani na huwa nakukubali na kukuunga mkono sana ila katika hili umeniangusha sana kaka!yaani unawekewa mbususu mezani unashindwa kuicharanga wakati umelipia package nzima
![]()
wewe jamaa unapenda kunibishia kila kituSasa hapo ungeongeza na katangawizi kidogoo hakika ungeona utamu wa chai hii
Weka tangawizikabisa afu ulete hako. Iwe ukweli or fiction inakuongezea nn mie naburufiksje
Dah hii story imekuwa kinyume na matarajio yetu. 😭
Huwa makosa yanaanzia hapa, ukifanikiwa kutoka hapa salaama basi huko kwingine raha tu. Ukikubali kuchukua namba haoa then mkakaribishana room you will either win or learn!View attachment 1780894
Fast foward.......
Hii masaji ilikuwa mobile yaani alikuja room kunifanyia masaji.
Alipofika akaanza na gia ya kuvaa kihasara-hara. Alikuja very decent akaomba aingie bafuni. Akaoga na kutoka na kanga moja iliyolowa.
Wakati namtupia taulo ajifute nikajisemea ngoja niionyeshe wehu hii pisi kali. Tulikubaliana ni masaji baaaaasi tu sitaki chokochoko zingine.
Alipojikausha akajifunga mtandio na kunitaka nilale chali anihudumie. Nikaitika.
Akaanza mdogo mdogo sehemu za mabega na kifuani hapa na kushuka kwenye mbavu. Baadae kidogo akapanda kitandani akitaka kunikalia akidai chini anakosa uhuru. Nikamruhusu akanikalia baada ya dakika 5 braza zakaria akataka kunisaliti. Dada akainuka kidogo kutaka kunivua boxer.
Nikamwambia hapana usifanye hivyo sio makubaliano. Akatabasamu akisema 80k ni body to body masage.
Basi akanielewa ila akaiegemeza viungo vikawa karibu kabisa mpaka nikagundua hakuvaa kitu ndani. Nikatamani nimwambie avae chupi ila nikaona nimpotezee tu,namkazia hivyo hivyo.
Basi wakuu nikajikausha pale mpaka ikatosha nikageuka kifudifudi ambapo hakuna madhara na vishawishi. Hatimaye dakika 40 zikakata ngoma droo. Dakika ya 43 akaniuliza kwani kaka una tatizo la nguvu za kiume. Nikacheka sana mpaka akashangaa,kisha nikamwambia ingiza mkono uhakiki. Kaniambia nataka nikupe ofa,nikamwambia usipate taabu labda siku nyingine halafu sina mpira. Akaniambia anayo kwenye mkoba.. Mkuu wenu bado nikakomaa.
Dakika ya 89 akanyanyuka akaoga zake,tukapiga stori kidogo na kusepa.
jamaniii... sawa tutatoa mwaego... ila ile ni tunu jamani. Siyo ya kugawa ovyo
Ametuangusha sana huyu mwend.awazimuDah hii story imekuwa kinyume na matarajio yetu. 😭
Kaka hayo mambo hayatakagi kuremba mie huwa sichagui mbususu ilimradi ni msafi tu natafuna sio unaletewa hivyo unazingua hiyo ni dhambi ya kuidhurumu nafsi siku ya mwisho utahukumiwa kwa ulichomfanyia dada wa watuau tuseme nilimletea utundu lissu,azingatie vipengele vya makubaliano ya awali

We si mtaniiii...hahahawewe jamaa unapenda kunibishia kila kitu
Tena towashi haswaa,..Hahaha kawa mtume tena