richie ze best
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 600
- 1,025
Picha linaanza steling anafia kwenye maua
Abadilishe tittle tu



Kwa kweli aisee maana duuh ni tatizo hiliAbadilishe tittle tu


Hahahah ametuingiza kwenye maswali mabaharia 😅😅😅Kwa kweli aisee maana duuh ni tatizo hili
Hivi nguvu za kiume ni kusimamisha tu mkuu???
C ni swala la kushindwa kula ngwachuchu au???
sababu ipo ila ni ya aibuBADO HAKUNA SABABU MAALUMU KWANINI DERBY YA SIMBA NA YANGA HAIKUCHEZWA
Sijamsoma kabisa aiseeHahahah ametuingiza kwenye maswali mabaharia![]()
huu ni mfarakano kabisa


niliamua tu mkuu ili nione nini kitatokeaDuch...au ulikuwa na mechi nyingine?? Si "ungepigapo" hata kamoja tu ka afya? Au demu alikuwa na harufu mbaya(japo umesema alioga kwanza)?
Hongera sana kwa kushinda majaribu!
Yani kamruhusu swala asepe kama vile meno hana ya kung’ataSijamsoma kabisa aiseehuu ni mfarakano kabisa
Labda hajaimalizia stori yake ngoja aje![]()
😂😂Dah hii story imekuwa kinyume na matarajio yetu. 😭
Labda ni simba kweli ila kibogoyoYani kamruhusu swala asepe kama vile meno hana ya kung’ata
Daaah.
Kama mechi ya Yanga naa simba