mkuu kiukweli alichofanya huyu mshkaji ni kuchuma janga...umbea wake umemponza.kaka kama hawa ndio huwa wanaingia kwenye vyumba vya dada zao na kuanza kunusu chupi za dada zao wewe umepewa umsetie simu unaaanza kusoma meseji haya sasa uliyokutano nayo huko unalia nn ssasa.
Rafiki chuma mboga ni nini?......sijamuelewa mleta uzi!Kwa dunia ya sasa hata ukimnyang'anya simu hitosaidia jambo la msingi mpe ushauri uliotukuka......kashakuwa mtu mzima huyoo
Sent from my Z5 Premium using JamiiForums mobile app
ANACHO TAKIWA KUJIULIZA NI JE darsa zima la mabinti form four wangapi ni mabikra? na wale wasio nazo zimeenda wapi na hawajaolewa wala hawajazaa.mkuu kiukweli alichofanya huyu mshkaji ni kuchuma janga...umbea wake umemponza.
simple sana mbona, wewe ndo unamlisha na kumvesha,sio? kama ndivyo makate makofi ya haja(hapa unamdogowesha) baada ya hapo nyang'anya simu, msajilie line nyingine(mnunulie simu ya kitochi tafadhali).. then baada ya wiki hivi kaa nae mpe shule!!! then no kutoka home bila kuaga... make sure anasali km muislam aswali.. ajiunge kwenye vikundi vya dini kama kwaya au madrasa kwa waislam.. huku ukimuomba Mungu.Ni binti mdogo kamaliza kidato cha nne mwaka Jana kimwonekano ni mpole na mtaratibu sana niende kwenye mada;
Leo mida ya jioni simu yake ilikuwa kwenye lugha ambayo haielewi(Africanas) akaomba nimfanyie setting irudi katika kizungu nikafanya hivyo nikamaliza wakati yeye akiwa nje anaosha vyombo, ndipo akili iliponituma kukagua inbox zake za WhatsApp na SMS za kwaida, duh niliyoyaona nimejuta kuyafahamu.
Chatting nyingi ni mapenzi (mabwana wengi) japo sioni kama ni shida sana kilichokuja kuniuma na kunifanya niandike huu uzi nilipokuta message za wanafundishana mbinu mbalimbali za kufanya mapenzi, kuwatega na kuwachuna wanaume, amejiunga magroup ya WhatsApp ya ukahaba na makungwi wanafundishana mambo ya ajabu, ndo nikahamia kwenye gallery uko ndo basi.
Nimeumia sana japo sijafanya reaction yoyote mdogo wangu kaniumiza alivyo mpole msitaarabu sikutegemea ndo wa kufundisha wenzake mara chuma mboga mara nini.
Naombeni ushauri wadau nimchukulie hatua gani huyu dogo maana ni mdogo wangu ananiuma sitaki aharibikiwe.
Nakuburudishia mbavu whatiiii???hhahahaa unabirudishia mbavu zangu hommie
Amuite aongee naye tu taratibu...maana sikuhizi wamekua wajaja sana...mimi nilimshushi kelubu za maana dogo mpka akakimbilia kujifungia chumbani af akajifanya amekunywa sumu eti anataka kufa mpaka mama anatoka kazini kwasababu ya ujinga wake ....Mkate kelbu za maana kwanza, alaf maelezo baadae
Pure pumbamwache akae simu ya mtu ww umepekuaa ya nn yaan ww kaka gani unapekua simu ya mdogo wako wa kike??form 4 kwan mdogo mwache ajifunze asije kuwa gogo bure badae aje kusemwa cha msingi nyumbani ana heshima na anafanyaa yanayotakiwaa hapo nyumbani the rest ni ukuaji tu kitafika kipindi ataacha kama ww ulivyokuwaa unakuaa yapo mengi ya kijingaa uliyoyafanyaa mwache naye ayafaanye at the right tym muda utafikaa ataachaa trust me ..kuwa kwenye magroup dsnt mean kuwa anafanyaa hayo mambo noo ni anajifunzaa lazimaa mtu uwe na elimu dunia na elimu aheraaa cha msingi anawezaa kucontrol mambo yake lastly siku nyingine fanyaa ulichoombwa mengine hayakuhusu!!
Sawa mkuuWe we we acha kabisa, hawa akina dada wazaa hovyo hawachelewi kusema mpigie mjomba wako akulipie ada!! Hivyo kaka lazima ufokeee umalaya wa dada ukizidi.