Picha yake tafadhaliLeo nimeshtushwa sana baada ya kumkuta binti mmoja mrembo amevaa kwa heshima ametulia sehemu anasoma kitabu cha Danielle Steel. Ni zaidi ya miaka 15 sikuwahi ona mtu wa age yake akiwa amekaa anasoma kitabu wakati akisubiria huduma sehemu.
nilifika ofisi moja Mjini kuonana na Jamaa yangu. nikiwa nasubiria huyo mhusika amalizane na mgeni aliye naye ndani katika kutembeza macho sehemu kuangalia tuliopo mapokezi nikiwa nimekaa. mbele yangu nlimwona binti huyu mzuri akiwa ameshika kitabu cha Danielle Steel. kilichonishangaza zaid ni utulivu na nidhamu ya hali ya juu aliyokuwa nayo.niliinuka na kumfuata.taratibu akainua macho yake na kunitizama.akaniamkia kwa heshima.niliitikia na moja kwa moja nikapeleka mkono wangu kukishika kitabu chake pasipo kumwambia neno.
hakufanya hiyana kwa kujiamini kabisa akanichia nichukue kile kitabu.,nikakisoma "Danielle Steel" kwa sauti.
"siamini kama leo hii namwona binti katika umri wako anasoma kitabu kama hiki" nlitamka nikiwa katikati ya mshangao na furaha. alitasabamu kwa aibu akiziba mdomo yake... (moyoni nikawaza "this girl is pretty and smart") niliongea naye sana yule binti nikafahamu ameshasoma vitabu 8 vya Danielle Steele na Pia Sidney Sheldon.
Katika tu maongezi nligundua the girl is bright and confident. Mungu kampendelea kumpa uzuri,akili na heshima.nlitamani yule mdogo wangu brother man asingekuwa heart breaker aje aoe msichana huyu.
Nmeshangazwa kizazi cha Dot Com kusoma novel kubwa kubwa kama za akina Danielle Steel ,Sidney Sheldon n.k alichonichosha zaidi aliponambia kuwa hicho kitabu amenunua tsh 19,000 kwa pesa yake mwenyewe.kama ambavyo alinunua na vingine 4 alivyo navyo.
Haraka akili yangu ikahama nikaanza kufikiria wakati kuna wanawake wanajinadi wanavyojua kukata kiuno na styles mbalimbali za sex.kuna wanawake smart wapo wanaishi nao duania hii hii? Kweli the world isnt fair
Juu ya machapisho mbali mbali ya vitabuuzoefu upo mbalimbali unataka mbadilishane uzoefu upi?
Mi najisomeaga vitabu vya wazalendo wenzangu kina Beka Mfaume, Hussein Tuwa, Richard Mwambe na wengineo wa hapa nchini wanaoandika vya kiswahili tu
Hahaha lolMi mwenyewe Kuna siku nlimkuta mtt mmoja mkali pale Instabull mlimani city ametulia anapata espresso yake huku ameshika kitabu chake Cha 'Hawafu mwenye nguvu' kweli alinikonga nyoyo
Hujawahi kusoma hadithi ya Hawafu mwenye nguvu?Wewe ulimwelewa me? Nitafsirie na mimi alichoandika please.
Shule ya msingi umesomea wapi mpenzi?Hapana. Hata sifahamu anything about that. Kinahusu nini.
Hahaha eti kizazi cha nyoka acha mambo yako bwanaMiaka yetu tulisoma vitabu vingine vya juma na roza, mr and mrs daud n.k mimi si wa kizazi hiki cha nyoka
... na KOBO eReaderiPad,Kindle,simu
kama hadi umesahau kinaitwaje umetupiga kambaBasi na mi niko smart maana nimesoma vitabu viwili vya Sidney Sheldon (tell me your dream, kingine kama sikosei kinaitwa the naked face)...
kama hadi umesahau kinaitwaje umetupiga kamba