GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,681
- 109,092
"Nawataka Polisi kuachana na hii Lugha ya Kuwaambia Ndugu ambao huenda Polisi kutafuta Watu Wao waliotekwa na Wasiojulikana kuwa bado wanaendelea na Uchunguzi kwani kwa kufanya hivi wanasababisha Watu kuwa na Hisia zingine mbaya kwa Serikali na Vyombo vyake Nyeti kuwa ndiyo IMETEKELEZA hilo" amesema jana Katibu Mwwnezi na Itikadi wa CCM Ndugu Paul Makonda Ziarani huko Mikoani.
Chanzo: Magazeti ya Leo na hasa hasa la MWANANCHI limeripoti.
Sasa ni rasmi GENTAMYCINE naamini kuwa Shetani akibadilika huja kuwa Malaika mzuri mno.
Chanzo: Magazeti ya Leo na hasa hasa la MWANANCHI limeripoti.
Sasa ni rasmi GENTAMYCINE naamini kuwa Shetani akibadilika huja kuwa Malaika mzuri mno.