Ambros Kiwale
Member
- Oct 30, 2023
- 27
- 44
Habari wataalamu, binafsi sio mtaalamu Sana wa siasa, hata hivyo nakiri kwamba tangu nimeanza kufuatilia fuatilia politics ninashawishika kwamba CCM imeanza kurudisha uhai wake kupitia MWENEZI P. MAKONDA.
Kwa ujumla Kama Kuna washauri wa Rais humu, wamjulishe kuwa wamefanikiwa Sana kuifanya CCM kuwa "talk of the Town" kwa Sasa, ndani ya muda mfupi tangu MAKONDA kushika nafasi mojawapo nyeti ya CCM amedhihirisha utaalamu katika eneo la political propaganda na kuteka umma wa watanzania kumjadili na kukijadili chama Cha mapinduzi zaidi kuliko issues nyinginezo.
Hata hivyo binafsi nashauri, mheshimiwa Rais SSH, ashughulikie kwa nguvu miradi ya kimkakati ambayo mtangulizi wake aliicha hususani suala la SGR na bwawa la Mwl. Nyerere.
Aidha kwa jicho langu binafsi naona turn off nyingine kwake ni kukawia kuchukua hatua ama maamuzi magumu dhidi ya wanaotajwa kuhusika na ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma hususani ambao taarifa ya CAG imebainisha.
Nahitimisha kwa kukazia tu kwamba Kuna haja kwake ku harmonize atmosphere ya kisiasa ambayo kwa Sasa kupitia MWENEZI, heshima ya chama inarejea na utekelezaji wa miradi mbalimbali hususani ya kimkakati ambayo kutokukamilika kwake kwa muda inaibua hoja.
#istandtobecorrected
Kwa ujumla Kama Kuna washauri wa Rais humu, wamjulishe kuwa wamefanikiwa Sana kuifanya CCM kuwa "talk of the Town" kwa Sasa, ndani ya muda mfupi tangu MAKONDA kushika nafasi mojawapo nyeti ya CCM amedhihirisha utaalamu katika eneo la political propaganda na kuteka umma wa watanzania kumjadili na kukijadili chama Cha mapinduzi zaidi kuliko issues nyinginezo.
Hata hivyo binafsi nashauri, mheshimiwa Rais SSH, ashughulikie kwa nguvu miradi ya kimkakati ambayo mtangulizi wake aliicha hususani suala la SGR na bwawa la Mwl. Nyerere.
Aidha kwa jicho langu binafsi naona turn off nyingine kwake ni kukawia kuchukua hatua ama maamuzi magumu dhidi ya wanaotajwa kuhusika na ufisadi na ubadhirifu wa fedha za umma hususani ambao taarifa ya CAG imebainisha.
Nahitimisha kwa kukazia tu kwamba Kuna haja kwake ku harmonize atmosphere ya kisiasa ambayo kwa Sasa kupitia MWENEZI, heshima ya chama inarejea na utekelezaji wa miradi mbalimbali hususani ya kimkakati ambayo kutokukamilika kwake kwa muda inaibua hoja.
#istandtobecorrected