Nilichojifunza kuhusu punyeto

Nilichojifunza kuhusu punyeto

Mimi nilipiga hiyo kitu kwa miaka 8 ilinifanya kitu mbaya sitokaa nikarudia
Ni miezi saba sasa toka niache nazingatia tizi na kula vizuri na Hali yangu ilishaanza kuwa shwari.
Lakini cha kushangaza toka niache wiki mbili zilizopita nimekuwa naota nafanya mapenzi nikiamka asubuhi nakuta nimechafua bukta.
Sasa kali wiki iliyopita nimepiga viwili nikiwa usingizini, kwasababu mara ya kwanza baada ya kumwaga manii niliamka saa saba nikabadili bukta, kuamka asubuhi nakuta tena nimechafua mara ya pili
Hii Hali ilinishangaza na kuniogopesha. Na ukizingatia kipindi napiga puli haikuwahi kunitokea
Usiogope hizo ni safety valves zinajifungua kuachia mzigo usikusumbue, ulipokuwa unapiga puli mwili ulikuwa unatumia kiasi kikubwa cha protini kutengeneza manii itachukua muda mwili kubadiri matumizi ya protin na kutengeza vitu vingine muhimu.
 
Usiogope hizo ni safety valves zinajifungua kuachia mzigo usikusumbue, ulipokuwa unapiga puli mwili ulikuwa unatumia kiasi kikubwa cha protini kutengeneza manii itachukua muda mwili kubadiri matumizi ya protin na kutengeza vitu vingine muhimu.
Poa nimekupata na ahsante kwa ushauri
 
NDO MAANA VIJANA WENGI WANAONEKANA WAZEE WAKATI UMRI MDOGO PUCHU INAZEESHA KAMA HAMJUI UTAKUTA MIAKA 20 MTU KAMA MIAKA 35 VILE HAHAAAA ...........NAPITA TU
 
Mkuu umeniacha hoi sana kesho piga puchu mwana jamii mwenzetu miss chagga mtoto mkali sana huyu.
We tafadhali tuheshimiane,tena ishia hapo hapo,usinione humu jukwaani kama kibaka,kumbuka kujiheshimu na pia ushike adabu yako tafadhali au unataka ngalambe?,usione wanawake wote humu jukwaani ni maharage ya mbeya au ni vitafunwa.
 
Mimi kipindi Niko shule ya sekondari arusha seminari tulikuwa tunajipanga wavulana nane nane along the wall then tunapiga nyetto then tunashindana atakae kojoa haraka....
 
Back
Top Bottom