Nilichojifunza kuhusu punyeto

Nilichojifunza kuhusu punyeto

Ila tuongee ukweli hivi kuna mwanaume hajawahi pitia punyeto, na kuacha huwa inakuwaga mbinde sana hii nimeona kwa watu wengi sana
Mkuu, binafsi wakati wa kubalehe mwaka 2003, nilipiga punyeto kwa kutumia mafuta nikiwa room alone, nokaifurahia thn nikapiga tena mara mbili.

Siku moja nikiwa bafuni nikapiga kwa kutumia sabuni, kumbe sabuni ikaingia kwenye tundu la dushe....dushe lilivimba na kuwa red nilichukia kupiga puli mpaka leo hii ninavyoandika hapa.
 
nmeshajaribu kuacha mpaka sasa nmekata tamaa...

najiona tu mtu wa kushindwa. ts very sad.. lakn ntafanyaje
Mkuu, kuacha inawezekana kabisa ukiwa serious, mimi nilijaribu punyeto mara 3 tena mwaka 2003. Nikashindwa na kuichukia mpaka leo.

Wewe ukiwa busy na issues za maana huku ukiepuka kukaa peke yako especcially mahala pa siri na usiangalie hizi picha na video za wanawake walio uchi basi utaweza kabisa kuacha.
 
Hapo kwenye namba4 umenikumbusha mbali sana......kipindi nipo form two........kuna dem nilikuwa namkubali sana........ila kumwambia naona soo.......sasa kuna siku niliona picha yake akiwa amevalia kasidiria na tyt maeneo ya coco beach wametoka kuoga.......basi ile picha ilinikaa kichwani ........nikaanza kumpigia punyeto......aisee basi nikaridhika mwenyewe maana nikimuona ni kama nimeshampitia..........yaani laiti angejua jinsi nilivyokuwa nam'bidua wakati wa punyeto.......si mchezo........leo nikikumbuka huwa nacheka sana.........ila sio nzuri ukizidisha .........ni kitu cha kuonja tu na si cha kukomoa.........tafuta msichana wa kupeana naye mambo......muwe waaminifu tu mtaenjoy life.......
 
Daah hii kitu si imepigwa marufuku ama mmejisahaulisha? Haitakiwi kabisa wakuu hii kitu jamani, tufanye kazi sasa, nyeto tupa kule
 
Men are wise in proportion, not to their experience, but to their capacity for experience.
 
Umeshawahi kupiga punyeto la PAPAI NA MAJI YA MOTO!!???
Nyumbani nje kuna mipapai ile ya mbegu fupi mingi .... Nashangaa mbona mapapai yanaisha (yanachumwa) bado hayajaiva ..... Jana tupo mazoezini ....madogo Wakaanza kumtania dogo mmoja jirani yetu ...kumbe anayachuma mabichi anayakata nyuma kupata size yake ya dushelele..... Anaweka Maji ya moto afu anaanza kuingiza(kama anaDo) zile mbegumbegu na uvuguvugu ina kuwa kama papuchi..... Kuna watu wabunifu asee
 
ubaya ni kwamba mpenz wangu yuko mbali.. na mi sitaki kumhadaa mdada ambae najua sina future nae... its real hard for me.
Usiwe boya mwanaume utarudhika vipi nademu mmoja, tafuta papuchi yaakiba upunguze upwipwi
 
hii kitu nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuacha nimeshindwa kabisaaa, nikijitaid sana kukaa bila kupiga ni siku 3 tena apo nakua najiandaa kwenda kugegeda dem
Tafuta dem mpenda ngono uwe unagegeda daily
 
Sisi enzi za master' nakumbuka kuna mademu tulikuwa tunawakubali sana, kilichokuwa kinafanyika tunamtuma jamaa mmoja aende mabweni ya wasichana akaibe vyupi vyao walivyoanika, anatugawia, basi unanusa pale mahara huku unavuta hisia kana kwamba hiyo **-pi ni ya yule unaemkubali, duh! Tulikuwa tunaweza piga hata tatu, non stop!
 
Kupiga punyeto ni chukizo kwa Mwenyezi Mungu. Jambo lolote ambalo Mwenyezi Mungu hakutuamrisha tulifanye basi tusilifanye kwani huwa na madhara makubwa -- madhara ya kupiga punyeto huwezi kuyaona kwa muda mfupi, wala kwa macho ya kawaida. Kupiga punyeto ni haramu (makosa) ndugu yangu kama unapiga punyeto, hili siyo jambo la kujisifia hata kidogo, muombe Mungu akutoe kwenye hili janga, mimi taratibu kwa uwezo wake Mungu naanza kuiacha punyeto!
 
Back
Top Bottom