Smokey D
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 2,632
- 2,114
pole sana kwa kupiga nyeto mda mrefu..Mimi nimeanza kupiga nyeto toka nimeingia standard 7 mwaka 2004 nilipo balehe tuu nikaanza...
Mpaka naingia form one tabora boys mwaka 2005 ndo nikazidisha sanaa... Kila mda wa kuoga..
Ucku naamka naenda uwanjan au nyuma ya bweni la Kimweri pale piga kamoja narud kulala...
Haya nikimaliza six, nikaingia UDSM mwaka 2011 coet pale piga sana puli mabafu ya block E mabibo hostel palee...
Mpaka namaliza degree yangu mwaka jana 2015 bado tu napigaa (udomozege shida sana)
Haya ni hivi mwaka huu ndio nimeshtukia mchezo baada ya kuona peformance yangu kitandan na mademu iko very weak (KAMOJA TU HOIII)
Hivo niko ktk harakat kabambe za kuachana nayo kabisaaaa...
Sasa hivi navuta hadi Mwezi ndio nashtua tenaaa
Mazee puli mbaya ukiendekeza. Lakin pia ni tamuuuu..