Nilichojifunza kuhusu punyeto

Nilichojifunza kuhusu punyeto

Hii kitu mbaya sana

Hii kitu nilianza kiutani tu, siku moja nilikaa na grup moja hiv tukiwa 4m4 wakaongelea nilikua sijawah kusikia before, nikawa nashindana nifanye au nisifanye, siku moja nikaona ngoja nijaribu nione inavokua asee ndo ukawa mwanzo wa safari ya Punyeto(imenitesa sana).

Ilifikia sasa unatafuta mwanamke unachati nae 4n sex( wanawake wengi wanapenda sana huu mchezo) wengi walikua wanaanzisha wao mpaka nikawa nimebobea kwenye huo mchezo ukawa wa kufanyia punyeto.

From 4m4 up to mwaka wa 3 nafanyaga tu.

ilifikia mahali nikawa naamka usiku nalia peke angu tu nataka niache nashindwa. Siku moja niliumwa upele sehemu za siri ishu yote ilijaa upele unauma balaa, kijana alinyongonyea sanaa. Nilipona sitaman tena hata kuweka mkono huko chini.
 
Jaman punyeto zinahasara zaidi kuliko faida nakumbuka mm nilikuwa mpiga puli maarufu wkt nachipukia miaka ya 1980 lkn madhara yake yananitokea sas kwani mzee mzima nikishaina shavu la papuchi tu hali inakuwa mbaya sana kwani nikipiga push up mbili tu naona wadudu hao wanakuja isitoshe ili niweze kuendelea natendo nalazimika nikojoe nje!! Maana nikikojoa ndani dushelele likishalala inanichukua saa nzima kusimama tena!! Mm nilikuwa napiga puli kwakutumia mate tu hasa ninapokuwa kuchunga ng'ombe kijijini, Wapendwa hivi sasa kwa ajili yakulinda ndoa yangu huwa nalazimika kufikiria madeni yote ninayodaiwa pindi tu nikiwa kwenye 6 kwa 6 na wife ili kujisahaulisha kidogo nakweli hii mbinu inanisaidia sana mpaka wife anakojoa sasa kimbembe nipale nikikutana na papuchi mpya kila nikijitahidi kufikiria madeni nakwama kutokana na ugeni wamtu niliyenae sasa kidume nalazimika nijiongeze kwa kuingia chumvini kwa muda mrefu japokuwa mate yanajaa mdomoni huwa navumilia mpaka nimfikishe kunako mwenzangu, jamani chondechonde achana na Puli inamadhala makubwa sana
 
Sasa nizipatie wapi wakati kila siku kabla ya kulala napiga goli moja au mbili
Mimi nilikua na style ya peke yangu. Yaani nalala kifudi kifudi km vile nadinya manzi alafu nabana dushe kati ya godoro na tumbo then naanza kusugua hapo dk mbili tu wazungu hao
Ile ya sabuni nilijaribu ikanishinda kabisaaa
Google prone Masturbation hlf uache
 
Cha msingi ni KUACHA sababu upande wangu miaka yote sijaona faida hata moja, naishia kujichukia tu na kuogopa madem maana nahisi ntaaibika sababu nimewahi kuaibika mara moja nilishindwa kula tunda kabisa usiku kucha
duuh pole.
kwaio umeshapona? au ndo doz umezdisha kabsa??
 
Mimi nilipiga hiyo kitu kwa miaka 8 ilinifanya kitu mbaya sitokaa nikarudia
Ni miezi saba sasa toka niache nazingatia tizi na kula vizuri na Hali yangu ilishaanza kuwa shwari.
Lakini cha kushangaza toka niache wiki mbili zilizopita nimekuwa naota nafanya mapenzi nikiamka asubuhi nakuta nimechafua bukta.
Sasa kali wiki iliyopita nimepiga viwili nikiwa usingizini, kwasababu mara ya kwanza baada ya kumwaga manii niliamka saa saba nikabadili bukta, kuamka asubuhi nakuta tena nimechafua mara ya pili
Hii Hali ilinishangaza na kuniogopesha. Na ukizingatia kipindi napiga puli haikuwahi kunitokea
unasex kweli ww
 
Hua naacha kwa mda ila inajirudia tena,bt naamini ipo siku itaisha kabisa, sa hz naweza kuacha hata mwezi ila siku nikiona porn kidogo tu yanajirudia.
kwaio unaonaje uache kuangalia hio midudu.i.e porn. na kuwa bze na epuka kukaa idle(jichanganye na watu). alafu anza kuwa na mahusiano na mwanamke.najua ku-do mwanzon italuwia ngum ila hatimaye uta- graduate kuwa kungwi mzoefu hadi utapewa ASANTE za kutosha toka kwa mwenz wako. utapona trust me!!!
na usile sasa vichips vyenu ( kama upo dar). piga vyakula vya asili.

onyo...onyo...onyooo usirudie kupiga puli asee!!! utapona tu kuwa na iman kwanza kwamba unaweza pona!!!
 
Usikate tamaa mkuu, cha msingi ni kujipa moyo na kuamini kuwa ipo siku utashinda, mimi kuna kipindi hua najitahidi navusha hata miezi mi3, nikianguka nasimama na kuendelea mbele.Jitahidi tu mazoezi,maji mengi,kula vizuri yaani unajitahidi kuacha na wakati huohuo unajenga nguvu isipotee sana, jitahidi sana mkuu madhara yake ni makubwa na ya aibu mi yalishanikuta
ubaya ni kwamba mpenz wangu yuko mbali.. na mi sitaki kumhadaa mdada ambae najua sina future nae... its real hard for me.
 
hii kitu nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuacha nimeshindwa kabisaaa, nikijitaid sana kukaa bila kupiga ni siku 3 tena apo nakua najiandaa kwenda kugegeda dem
 
hii kitu nimejaribu kadri ya uwezo wangu kuacha nimeshindwa kabisaaa, nikijitaid sana kukaa bila kupiga ni siku 3 tena apo nakua najiandaa kwenda kugegeda dem
Sasa unapoenda huko kugegeda unasimamia show vizuri kweli.?
 
Mie kila nikijarbu kuacha wapii nakaa wiki ama wiki mbili narudia tena japokuwa si mfululizo yani jumatat mpaka jumapili daaaah sielewi kabisa na mazoezi nafanya sana tu yani.!
 
dawa ya kuacha puli ni kuwa busy, na kuepuka kukaa mwenyewe muda ambao haupo busy. Hiyo ndio dawa pekee ya puli, , asante sana
huwa napata tabu sana kuanzia cha pili na kuendelea yaan mwsho wangu 2 au 3 nkilala nae, but najitaid kile cha kwanza kutumia mda mwingi kumridhisha
 
Back
Top Bottom