amadala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 4,276
- 12,379
Ha ha ha ni kweliHalafu ukiwasikiliza watu wa mikoani utafikiri haya ya msoto,maadili mabovu huko mkoani hakuna.
Ha ha ha ni kweliHalafu ukiwasikiliza watu wa mikoani utafikiri haya ya msoto,maadili mabovu huko mkoani hakuna.
mkuu kule ni Jijini kuna ubepari yani ukauzu na roho mbaya tofautisha na huko kijijini kwenu kwenye ujamaaWatu wa dar ni wabinafsi ,wakatili ,hawana ushirikiano ,hawaongeleshani ,ni wachoyo hatari ,Wana njaa hatari ....
Maisha ya dsm ni magumu hatari ,imagine mtu kapanga chumba kimoja ,humo ndani analala yeye ,mke wake ,watoto watatu Tena jinsia tofauti ...bado ndoo za maji +gesi +vyombo+sufuria +madumu +feni + ..... chumba kina makolokolo Kama stooo ....
Usione hawapendi kukalibisha wageni ukafikili wanapenda ohooooo ni mazingira magumu tu ..!!
Unaongelea maisha ya Uswahilini wewe, bado haujaifahamu Dar vizuriWatu wa dar ni wabinafsi ,wakatili ,hawana ushirikiano ,hawaongeleshani ,ni wachoyo hatari ,Wana njaa hatari ....
Maisha ya dsm ni magumu hatari ,imagine mtu kapanga chumba kimoja ,humo ndani analala yeye ,mke wake ,watoto watatu Tena jinsia tofauti ...bado ndoo za maji +gesi +vyombo+sufuria +madumu +feni + ..... chumba kina makolokolo Kama stooo ....
Usione hawapendi kukalibisha wageni ukafikili wanapenda ohooooo ni mazingira magumu tu ..!!
Umenikumbusha maisha yangu ya sinzaBongo ni kawaida unaweza ukawa unatubu zako ghetto huelewi waya mkali hujaiona siku kwa mlo hata mmoja, wakati huo mtaa wa jirani kuna wahuni wanavunja glass, bangi nyingi, vifua wazi na babecue wakiwa wameegesha ndinga zao za hatari uwaniwakiburudishwa na milupo pisi kali. Yani kama mtoni vile. Wanatumia hela tu hata week nzima.
Dar ni jiji la fursa ni sehemu pekee ambayo kila mtu ana nafasi sawa ya kufanikiwa kwa sababu ya mzunguko mkubwa wa pesa uliopo hapo.
Hamna mambo ya kufatiliana eti sijui kulogana kizembezembe. Cha muhimu we fata lililokuleta utaniambia
Sasa watu wa dsm asilimia 80 si wanakaa uswahili ...Hawa aslimia 20 ndio utakuta wanakaa masaki ,mbezi beach ,mikocheni ,....Unaongelea maisha ya Uswahilini wewe, bado haujaifahamu Dar vizuri
Sasa watu wa dsm asilimia 80 si wanakaa uswahili ...Hawa aslimia 20 ndio utakuta wanakaa masaki ,mbezi beach ,mikocheni ,....
Kwani umelazimishwa...?!Andika kiswahili fasaha, Acha ujinga na upuuzi kuiga watu wa Kenya
Jitu zima na mandevu yako Unaandika kiswahili ambacho hakitumiki kimuundo
Eti"Ukipita kwa bar"
Kwa bar sio kiswahili fasaha
Mnaiga mambo ya mombosa huko, Mnaiga mpaka kuinamishwa
Huu ndio uhuru wa matumizi ya kimtandao ambao wengi wenu mnautaka kumbe?!... Yani nyie watoto mnaosomeshwa na halmashauri za vijiji huwa mnatumika hovyo sana katika Elimu mlizo bahatika kupata yani hovyo kabisaa. 


Kwa point hiyo usiiseme Dar tu kwani watanzania asilimia kubwa wengi ni maskini, nitajie mkoa ambao asilimia 80 ni matajiri na asilimia 20 ni maskini.Sasa watu wa dsm asilimia 80 si wanakaa uswahili ...Hawa aslimia 20 ndio utakuta wanakaa masaki ,mbezi beach ,mikocheni ,....
Sio Masikini mkuu wengi wa wakaazi wa hili Jiji hususani walioajiriwa viwandani hata baadhi ya sekta za Serikali Mshahara wao hautoshi kukidhi maisha YaoDsm wengi wao masikini
Rekebisha mkuu,20% Ni kubwa sana, hawawezi kukaa hayo maeneo.20% Ni watu wanaokaa kwny maeneo yaliyopimwa mkuu.Sasa watu wa dsm asilimia 80 si wanakaa uswahili ...Hawa aslimia 20 ndio utakuta wanakaa masaki ,mbezi beach ,mikocheni ,....
Kwahio hukoo mikoani 80% mnaishi ushuani halafu ni matajiri sio.Sasa watu wa dsm asilimia 80 si wanakaa uswahili ...Hawa aslimia 20 ndio utakuta wanakaa masaki ,mbezi beach ,mikocheni ,....
Sio Masikini mkuu wengi wa wakaazi wa hili Jiji hususani walioajiriwa viwandani hata baadhi ya sekta za Serikali Mshahara wao hautoshi kukidhi maisha Yao
Unafanya kazi mpka tar 22 Pesa yote ya Mshahara umeshaitumia kwa malimbikizo ya mikopo, Maradhi, chakula na Makazi
Hii ya kuombana hela njiani inanikeraga yaan acha na sio wanawake tu hata wanaume anagongea nauli njiani 'naelekea mbezi sina nauli' ila mimi sio mtu wa kukunja hua nawapa inategemea amekujajeDar ovyo sana,nime-expirience maomba omba wakamilifu wamekua wengi.Juzi nimeenda kwa mishe zangu binafsi,ukiwa smart wanajua unazo,mara mbili niko mgahawani,mtu from no where anaomba umnunulie chakula,Yes nanunua naijua njaa, wanawake zaidi ya wawil wanaomba nauli sijui ya mkuranga, God forgive me,sikuwapa..
Nimekua dar mara nyingi sikuwahi kukutana na hii situation kabisa,na mikoani hakuna kabisa huu udwazi...
Naamin saiz maisha ni magum kuliko msimu wa Jembe JPM...
Tuendelee kukopa f..u..c...k
Mule muleDar kutamu asikudanganye mtu hakuna mambo ya ukabila wala udini labda kwa waajiriwa is kitaa kikubwa unajishugulisha hamna ishu za kuchorana hata uokoye makopo huku ukifanikiwa kujenga unamaliza kazi unaweza kuweka hata Banda la chips nje kwako ukakamata pesa hata 50k per day mikoani jau ushamba mzigo mikoa yote Ina kasoro ukabila na udini ndo maana napenda dar japo sip kwetu
Mpango mzima viwanja mi kuishi mkoa ambao hauna bahari ni sumu na siwajai kuishi labda mwanza maana kuna ziwa napenda tu
Mchanganyiko mkubwa wa watu hamna inferiority complex kikubwa upambane ila huko mikoani washamba kithenge
Na mkoa wowote, hali ni hiyo hiyo.Inategemea mkuu, Dar es salaam ndiyo Tanzania penyewe.
Mambo yote yako hapa Dar.
Watu masikini wako hapa, matajiri pia wako hapa.