NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
Hii ni mara ya pili hawapeani mikono kila wanapofanyiwa substitution hawapeani mikono kabisa.
Simba vs Coastal Union Kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana. Na game ya Simba SC vs Al Ahly Shomari kapombe na Mwenda wamepishana Kama magali mabovu hakuna hata kupeana mkono wa baraka Kama wafanyavyo wachezaji wengine.
Je, viongozi wa Simba sc mmeshindwa kabisa kuwaweka sawa/ kuamua ugomvi wao?
Simba vs Coastal Union Kapombe na Mwenda walipishana kwa mbali Sana. Na game ya Simba SC vs Al Ahly Shomari kapombe na Mwenda wamepishana Kama magali mabovu hakuna hata kupeana mkono wa baraka Kama wafanyavyo wachezaji wengine.
Je, viongozi wa Simba sc mmeshindwa kabisa kuwaweka sawa/ kuamua ugomvi wao?