Nilichogundua: WanaJF wengi ni maskini jeuri

Jf kama umeleta mada/thread ikatokea mchngiaji wa kwanza, pili na tatu wakuponda basi na wengine wote watakaofata watakuponda, yaani kuna vichwa maji humu balaa.

Pia kuna wale wakongwe wa jf, hao hata wakiongea utumbo watu watasifia tu. Kuna ujinga mwingi sana humu.

Pia watu wengi wanaishi maisha fake sana, yaani jf kila mmoja kafika chuo kikuu, ana gari, amejenga Mbezi, yaani ni full ku-fake maisha hadi aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Dahhhh..
Afadhali haujanitaja..teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It depends with someone’s perspective
You’ll be foolish to expect the same answer with me
Inaniuma sana.....
IMG-20190530-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaeelekea hadi mwaka unaisha hujawahi jiunga bando la 10,000 hata mara moja. Pole sana.
Wahivyo wanakua wanajinyoosha na line za chuo, na yashukuriwe makampuni ya simu siku hizi minara inasoma popote ulipo.
 
Jf kama umeleta mada/thread ikatokea mchngiaji wa kwanza, pili na tatu wakuponda basi na wengine wote watakaofata watakuponda, yaani kuna vichwa maji humu balaa.

Pia kuna wale wakongwe wa jf, hao hata wakiongea utumbo watu watasifia tu. Kuna ujinga mwingi sana humu.

Pia watu wengi wanaishi maisha fake sana, yaani jf kila mmoja kafika chuo kikuu, ana gari, amejenga Mbezi, yaani ni full ku-fake maisha hadi aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefika chuo ila sina hela. Nipe deal nianze kuwa maskini jeuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watema povu wote humu wana maisha choka mbaya. Usikute hata bandle la kuingia JF wanagongea ili waonekane matawi. Zamani kuna msemo ulisema "unadhifu huficha umaskini" ila siku hizi "internet inaficha umaskini zaidi". Maana kila mtu hapa anajinasibu kuwa ametusua life. Hakuna choka mbaya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unoko wewe, kila siku watu wanalia shida hapa jamii forum wengine wanatafuta kazi, wengine wana omba kuchangiwa ada za vyuo, wengine wanaomba mitaji wengine wanaomba mawazo ya kuanzisha miradi midogo midogo n.k
JamiiForum wapo watu wa kila aina kama walivyo watu wa mtaani kwako.
Kwani kukopa bando ni ishu mzee, mbona wengine tunatumia freebasics ku access jamiiForum, yaani nikiwa na 0 mb lakini naperuzi jamiiForum
 
Pia watu wengi wanaishi maisha fake sana, yaani jf kila mmoja kafika chuo kikuu, ana gari, amejenga Mbezi, yaani ni full ku-fake maisha hadi aibu!
nitafutie sehemu Depal nilisema nina gari 😎 usipende kujumuisha watu kiivyo mkuu its better useme baadhi yao wana JF.


Nb. Mtaani maisha yatupige mpaka mtandaoni nako aaah bana emu wacheni watu wajifurahishe vile wanataka
 
Watema povu wote humu wana maisha choka mbaya. Usikute hata bandle la kuingia JF wanagongea ili waonekane matawi. Zamani kuna msemo ulisema "unadhifu huficha umaskini" ila siku hizi "internet inaficha umaskini zaidi". Maana kila mtu hapa anajinasibu kuwa ametusua life. Hakuna choka mbaya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanongea ukweli wengne hatujui hata kujiunga Ni nin aiseee na muda wa kujiunga hatuna tunaweka pesa tuna ongea tu bando tuna waachia wanafunzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi ujue humu watu wanachangia mada wakiwa na stress, mwaka unaisha malengo hayajatimia, kodi ya nyumba, ada za watoto, nguo za watoto...
 
Jf kama umeleta mada/thread ikatokea mchngiaji wa kwanza, pili na tatu wakuponda basi na wengine wote watakaofata watakuponda, yaani kuna vichwa maji humu balaa.

Pia kuna wale wakongwe wa jf, hao hata wakiongea utumbo watu watasifia tu. Kuna ujinga mwingi sana humu.

Pia watu wengi wanaishi maisha fake sana, yaani jf kila mmoja kafika chuo kikuu, ana gari, amejenga Mbezi, yaani ni full ku-fake maisha hadi aibu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe nae kiazi. Id fake inaionea vipi aibu
 
Watema povu wote humu wana maisha choka mbaya. Usikute hata bandle la kuingia JF wanagongea ili waonekane matawi. Zamani kuna msemo ulisema "unadhifu huficha umaskini" ila siku hizi "internet inaficha umaskini zaidi". Maana kila mtu hapa anajinasibu kuwa ametusua life. Hakuna choka mbaya JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo "bandle" ilibidi iwe "bundle". Sijatema povu bali nimekusahihisha

Sent from my PBCM30 using Tapatalk
 
Hii uzi wako ni ukweli maana jana nlikutana na mada hapa nkabak nachek mwenyew eti mtu kabsa anaanzisha mada kwanin wamiliki wa magar wanawasha AC wakat wa mvua? Kwamba ni ushamba, Hahhaa sasa yeye inamuhusu nini wakat gari ni yake ana maamuzi ya kuwasha au kuzima. JF humu wengi wetu ni maskini tena wale jeuri


Sent from my iPhone using JamiiForums
Maskini jeuri ni msemo tu usiutie kwenye akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom