Nilichogundua kuhusu macho ya wanyama kuwaka

Nilichogundua kuhusu macho ya wanyama kuwaka

Post hii na watu walivyochangia, imenifanya nicheeeeeeeke!
Burudani tupu....
Teh teh teh!
 
Soma
Ukiona macho ya mnyama yamewaka (yanawaka) basi ujue kuwa umetizamana (unatazamana) macho kwa macho na mnyama huyo yaani macho yako na macho ya mnyama huyo yametazamana

Kwahiyo bablai kama ndo umeona mnyama hatari anawaka macho tafadhali anza "kutafakari na kuchukua hatua"
Soma tena wewe mwenyewe ukielewa itabidi nirudie tena chekechea!
 
Ukiona macho ya mnyama yamewaka (yanawaka) basi ujue kuwa umetizamana (unatazamana) macho kwa macho na mnyama huyo yaani macho yako na macho ya mnyama huyo yametazamana

Kwahiyo bablai kama ndo umeona mnyama hatari anawaka macho tafadhali anza "kutafakari na kuchukua hatua"
Nyuma ya retina kuna layer ngumu inayoitwa tapetum, mnyama anapomulikwa na tochi au kitu chenye mwanga mkali,huu mwanga unaenda kupiga moja kwa moja kwenye tapetum ,tapetum una akisi mwanga (reflect) kwenye retina hivyo inapelekea macho ya mnyama kuwaka.
 
Nyuma ya retina kuna layer ngumu inayoitwa tapetum, mnyama anapomulikwa na tochi au kitu chenye mwanga mkali,huu mwanga unaenda kupiga moja kwa moja kwenye tapetum ,tapetum una akisi mwanga (reflect) kwenye retina hivyo inapelekea macho ya mnyama kuwaka.
Umekuja vizuri sana... sasa niende nje ya mada kidogo; tunaambiwa kuwa ili uweze kuona kunahitajika mwanga katika jicho, hivi mfano unapoangalia kitu gizani (unapoona kitu kwenye giza totoro- mfano hayo macho kuwaka) je mwanga unatoka wapi?

Pia ukisema kitu chenye mwanga mkali nakataa kwasababu jua ndilo baba la mwanga mkali lakini hatuoni macho yakiwaka mchana
 
Umekuja vizuri sana... sasa niende nje ya mada kidogo; tunaambiwa kuwa ili uweze kuona kunahitajika mwanga katika jicho, hivi mfano unapoangalia kitu gizani (unapoona kitu kwenye giza totoro- mfano hayo macho kuwaka) je mwanga unatoka wapi?

Pia ukisema kitu chenye mwanga mkali nakataa kwasababu jua ndilo baba la mwanga mkali lakini hatuoni macho yakiwaka mchana
Umesoma mpaka darasa la ngapi?
 
Mbona hata macho ya kabudi yanawaka usiku hata usipotazamana naye
 
Macho yao yana reflect mwanga hats ukitegesha kamera akiiangalia unaona mwanga
 
Nenda MIT - Massachusetts Institute of Technology wakutunuku Phd ya heshima.
 
Nme tazamana na mwanamke macho kwa macho ngoja nikimbieb
 
Back
Top Bottom