Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,618
- 33,475
hizi ni dalili mbaya sana,, anyway mkuu na sisi tunaoona macho yao yakiwaka kwenye tv inakuaje ??.. pia tunakua tumetizamana au ?
🤣🤣🤣🤣
hizi ni dalili mbaya sana,, anyway mkuu na sisi tunaoona macho yao yakiwaka kwenye tv inakuaje ??.. pia tunakua tumetizamana au ?
Walau wewe!Achakutulisha matango pori. Macho ya mnyama yanawaka kwa sababu kuna utando ndani ya macho yake unaokusanya mwanga ili aweze kuona usiku.
Hebu nikuulize, ukitegesha kamare usiki na kuona picha za mach ya wanyama yanang'aa, ni kwa sababu macho ya wanyama na ya kamera tametazamana?
Vitu vingine kama hamjui ni bora kuuliza
Kama umeona kwenye television macho yanawaka inakuaje sasa kwenye iyo situation....naona kama husemi ukweliUkiona macho ya mnyama yamewaka (yanawaka) basi ujue kuwa umetizamana (unatazamana) macho kwa macho na mnyama huyo yaani macho yako na macho ya mnyama huyo yametazamana
Kwahiyo bablai kama ndo umeona mnyama hatari anawaka macho tafadhali anza "kutafakari na kuchukua hatua"
Video (tv) haijawahi kuwa mnyama... halafu, hivi tunaposema picha ni mchoro wa kitu kinavyoonekana mbele ya mtazamaji tunamaanisha nini vile?hizi ni dalili mbaya sana,, anyway mkuu na sisi tunaoona macho yao yakiwaka kwenye tv inakuaje ??.. pia tunakua tumetizamana au ?
ivi we mwenyewe umeelewa ulichokiandika ??Video (tv) haijawahi kuwa mnyama... halafu, hivi tunaposema picha ni mchoro wa kitu kinavyoonekana mbele ya mtazamaji tunamaanisha nini vile?