Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,208
- 2,808
Ukiona macho ya mnyama yamewaka (yanawaka) basi ujue kuwa umetizamana (unatazamana) macho kwa macho na mnyama huyo yaani macho yako na macho ya mnyama huyo yametazamana
Kwahiyo bablai kama ndo umeona mnyama hatari anawaka macho tafadhali anza "kutafakari na kuchukua hatua"
Kwahiyo bablai kama ndo umeona mnyama hatari anawaka macho tafadhali anza "kutafakari na kuchukua hatua"