Nilichogundua kuhusu Arusha


Unaongea empties hamna official report zinazokutetea yaani unafanya imagination alafu kibaya zaidi unatafsiri critical economic interpretation in such a very layman way


huwezi kutafsiri regional economy into city economy kwa namna nyepesi hivyo zipo formula unatakiwa uziapply hapo na hautapata jibu unless you obtained peripheral district collection ambazo obviously ni ndogo ukilinganisha na za jiji hivyo still you will fall on the same trap.
 
Acha uongo hata kwa hiyo HDI Arusha sio ya pili...
Tusiongee maneno matupu angalia history ya Arusha hapa wanapambanishwa na mikoa miwili Mwanza na Geita

Mulongo amesema kuwa mkoa wa Arusha katika kipindi cha mwaka 2013 ilikusanya Sh. 1.27 trilioni ikilinganishwa na Mwanza na Geita ambayo inakusanya Sh. 123 bilion (2015). kitendo ambacho ni aibu kwa mikoa hiyo.

TRA Mwanza washindwa kufikia lengo
 

Tusiongee maneno matupu angalia history ya Arusha hapa wanapambanishwa na mikoa miwili Mwanza na Geita

Mulongo amesema kuwa mkoa wa Arusha katika kipindi cha mwaka 2013 ilikusanya Sh. 1.27 trilion iikilinganishwa na Mwanza na Geita ambayo inakusanya Sh.123 bilion (2015) kitendo ambacho ni aibu kwa mikoa hiyo.

TRA Mwanza washindwa kufikialengo
 
Huo ni uongo kabisa, Hiyo Trilioni 1.27 Arusha wamekusanyia wapi...?! Hata zile data za bwana FisadiKuu hata nusu Trilioni hawajafika...
 
Yaani tena hapo ni mwaka 2013 Arusha ikiwa Manispaa, inakusanya Trilioni 1.27 yaani inaizidi Mwanza mara karibia kumi kwa kukusanya...

Tena hapo wanalinganisha hayo mapato ya Mwanza ni mwaka 2015...

Wewe na Mulongo mtakuwa waongo sana...
 
Yaani tena hapo ni mwaka 2013 Arusha ikiwa Manispaa, inakusanya Trilioni 1.27 yaani inaizidi Mwanza mara karibia kumi kwa kukusanya...

Tena hapo wanalinganisha hayo mapato ya Mwanza ni mwaka 2015...

Wewe na Mulongo mtakuwa waongo sana...
Huo ndio ukweli mchungu 😀😀😀 Mulongo anaongea from experience ameshakua RC Wa Arusha muda mrefu na Mwanza vilevile.

Kaa ukijua tokea Tanzania ipate Uhuru Mwanza haikuwahi kuipita Arusha kwa ukusanyaji wa mapato hata siku moja.

Mamlaka ya Mapato Tanzania - Takwimu za makusanyo ya kodi
Download takwimu za kodi kitaifa ujiridhishe kwamba Mwanza ni Mdogo sana kwa Arusha mkoa Wa kikodi Wa kinondoni ukitoka ndio Arusha anafuata.
 

Kila mahali utakapoona mapato ya TRA ya Mwanza jua na mkoa wa Geita upo ndani hivyo wakati unaipambanisha na Arusha ujue ni mikoa miwili Vs mkoa mmoja.
 
Jiji halijapangiliwa kabisa at least njiro, moshono,sakina

Nenda kijenge,ungaltd matejo,eso daraja2 na kwingine utashika kichwa unplaned + uchafu mzee
Hv arusha na dar ipi chafu wewe? Dah ukifika tu chalinze ukiwa unakuja dar unaanza sikia hewa yenye joto na harufu kali ya shombo la samaki hapo ujafika sasa dar yenyewe.
 
Arusha hakuna double road jiji gani hilo bora hata Iringa kuna double road mji wote umejaa barabara za uchochoro
Arusha inayo zaidi ya double road hii ni mojawapo.



Hapo bado pedestrian walk side, road lights, traffic signs na reflectors tufunge business.
 
Hv arusha na dar ipi chafu wewe? Dah ukifika tu chalinze ukiwa unakuja dar unaanza sikia hewa yenye joto na harufu kali ya shombo la samaki hapo ujafika sasa dar yenyewe.
Nimebahatika kuchungulia projects za halmashauri ya jiji is just the matter of time Arusha inaenda kubadilika sana hasa kwenye miundombinu.

Hipo hiyo project ya kuunganisha kata zote za jiji la Arusha kwa lami na kujenga masoko ya kisasa kwa morombo, mbauda na mkonoo

naiamini team ya madiwani na mayor na mkurugenzi wa jiji wapo njema sana na tayari projects zimeanza.

Mwanza wao watafute mshindani wao Arusha is way highest [emoji123] [emoji109]

[emoji817] [emoji818]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…