Mundamushimu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 757
- 434
Ukweli huyu katibu hafai ni jibu ambalo limeiva linahitaji mtumbuaji tu. Haiwezekani tangu ateuliwe yeye ni porojo tu anaua chama. Iweje apitwe ufahamu na katibu wa TLP aliyeitisha mkutano mkuu na kuwa na azimio lenye uhai wa chama la kuunga mkono mgombea Urais wa CCM. Mashinji hufai tuungane tumn'goe huyu.