Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

Nilicho kigundua juu ya JamiiForums

kwenzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
669
Reaction score
666
Majuzi wakati natoka mkoa naelekea Dar kwenye siti yangu nilikaa na Mzee mmoja. Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye JamiiForums. Mzee akasema naye ni member wa JamiiForums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.

Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo Msata tukacheka sana na Safari ikawa inaendelea...

Sikujua kama JamiiForums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakini naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo, unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.

Nilicho gundua ni kwamba humu JamiiForums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana tu.
 
Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .

Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.

Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...

Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.

Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
ID yake ni ipi
 
Kama ni hilo basi usiseme umegundua mkuu maana hilo liko wazi tangu siku nyingi na tunafahamu kwamba humu tupo mixture ya watu wengi, rika zote, jinsia zote mpaka akina james delicious wapo humu, watu wa hadhi zote mpaka pogba yupo humu, sadly enough mpaka Daudi mwana wa Bashite naye yumo humu.
 
Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .

Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.

Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...

Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.

Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu
Mpaka wababu na wabibi wapo pia
 
Au kaka mkubwa Le Mutuz
8c2a0b5af0ec457b9c0c1d01324b2501.jpg

le mutuzii899.jpg

Zee lililoshindikana,miaka 63 life style kama form 2
 
Ndio huku kuna wazee wengi sana mfano babu Dark City na babu Asprin wazee wa heshma.
-🙂 ingawa babu Asprin ameacha kukagua siku hizi. Na dhani ni uzee tu...........-🙁

Adabu ni muhimu na si ajili ya wazee tu. Bali ajili ya kuweka JF juu.
 
Majuz wakati natoka mkoa naelekea dar kwenye sit yangu nilikaa na Mzee mmoja .

Wakati tunapiga story mbili tatu tukajikuta tumeingia kwenye Jamiiforums .Mzee akasema naye ni member wa Jamiiforums na anapenda sana michango na hoja fikirishi za Mshana.

Wakati anasema hivyo tulikuwa tupo msata tukacheka sana na Safar ikawa inaendelea...

Sikujua kama Jamiiforums ina member wazee nilijua humu tupo vijana tu.Mzee akaendelea napenda sana kuchangia hoja mbali mbali lakin naogopa kuvunjiwa heshima yangu na watoto wadogo .....unaweza ukatoa hoja yako ukaishia kutukanwa maana hatujuani humu.

Nilicho gundua ni kwamba humu Jamiiforums kumbe wapo watu wazima sana kwa hiyo tusipende kutukana maana waweza mtukana baba yako au mama yako bila ya kujua ukaishia kupata laana..tu

We hujui kuwa wazee nao hawana heshima,kama wewe ulivyokuwa huna heshima..!!hapa ni hoja kwa hoja ama tusi kwa tusi.laana haiji kwa kutokujuana bali huja kwa kujuana."PAMBANA NA HESHIMA YAKO.
 
Back
Top Bottom